Nani aliiba idea ya mwenzake, Mwana FA au Jay Mo?

screpa

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
10,788
15,681
Wahenga wenzangu,

Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za redio, cha ajabu idea ya hizi nyimbo zinaendana sana.

Mimi naamini ufanano wa idea zao haikuwa coincidence, ni lazima kuna mmoja alidukua idea kutoka kwa mwingine na ukizingatia before hizi ngoma kutoka waliwahi kufanya kazi pamoja kwenye wimbo uliomtoa MwanaFA (Ingekuwa vipi). Je, ni nani alikopi idea mwenzake? Na ngoma ipi ilikuwa kali zaidi?

KAMA UNATAKA DEM
- Jay Mo ft SoloThang n' QChief - Produced by PFunky Majani

MABINTI DAM DAM - MwanaFA ft Mariam SK - Produced by Bon Luv ( I'm not sure)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MABINTI DAM DAM -- MwanaFA ft Mariam SK


**CHORUS---Mariam SK**
Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!


~~MwanaFA VERSE I__

Wengine ndani jeans wengine ndani ya skirt
Wengine mini au magauni ya vitambaa vyepesi
Mradi istizahi wanipore uhuru wa nafsi
Weledi wa ajabu kwenye mambo ya chini ya paa
Kuna werevu wa ajabu kwenye mambo mengi bar
Hawanipi shida sio balaa
Na zaidi nawapenda mabinti watundu
Mapozi ya kichokozi au sio pozi vurugu
Mitindo ya kiyahudi hijabu zikatazo kichwa
Na mikogo ya kifisadi sio mmakini inapotosha
Unaona shanga za miguu naita vikuku
Ingawa wenye ufahamu nipotofu
Watoto wa ki9bongo hakuna mchezo
Kuna walatino waafrika na wasanta domingo
Kuna mpasua toka chini mpaka kando ya kiuno
Milango wazi kwa yeyote aliye na mdomo
Sijapoteza macho ya kuangazi warembo
Nakosa uzalendo nionyeshwapo miguu
Napata uchizi wa mtima
Choma fedha na muda sioni balaa
Natumai sifunzi hasaraa?
Ni hadithi na sio biashara
Ukishindwa Inshallah


**CHORUS---Mariam SK**

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!


~~MwanaFA VERSE II__

Kuna kifua kama cha zay B
Kiuno kama cha Ray C na pozi Jay D na sauti kama Fina
Au labda ya aunt Ndina ipo njema matabasamu
Kama binti Maumba wa kino Msio nidhamu
Mtafanywa mpende ngono Hold on!
Kuna pozi za kimtoni kama Tausi Likokola
Unataka ni full bakora mabinti wangali wanang'ara
Warefu warembo kama twiga mithili ya Happy Magese
Midomo kama ya Shose
Utapenda uonekane yaani viwanjani ututese
Au binti maarufu utasema Aina anatosha?
Kama nnataka mwanya nafahamu wapi ntaupata
Mwite Aminata wa keita
Binti wa vigogo unamtafuta Mboni Mhita?
Mwili utakaokufanya upende love kama wa Mercy
Na macho yanayovuta kama ya Miriam wa Ikoa
Unaweza utangaze ndoa
Wengine mziki kama Shanice
Au kama connie stephans
Naiota rangi ya Caroline na lugha tanu kama ya Seven
Najua mnawaita masister Du! bendera hewani
Sometimes wavute widdy Mentally japo wazuri
Mithili ya Kibibi
Miondoko kama Faudhia
Au ungependa kithethe mithili ya Radhia
Watoto wa shule wassiwafanye mpagawe
Ilhali kuna wenye haiba kama Halima Bandawe
Mi kwa mabinti -nisahauliwe


**CHORUS---Mariam SK**

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!

~~MwanaFA VERSE III__

Kuna mabinti wapo kamili kila idara familia bora
Akili zisio lala maumbo bomba na sura
Kuwapata ni full Gospel wao ni ajira na hawaitaji zaidi ya sera
Kuna mitego ya khanga mambo kitanga
Kama una jichohii unapaswa kuwa umeiona
Michirizi ya utamu nyuma ya goti mimi hoi
Una moyo hai hili sio toi pigo jingine kama Sunset
Ubishi haufai ona visa kwenye mitindo ya vichwa
Anuani pepe za mitandano na simu zinawehusha
Ukitaka upgawe njoo kiwanja
Jaribu kuwa mkweli nionapo vitovu wazi hakuna si mahututi mimi
Kuna wadada, wamama, masister du wote wapenzi
Wana nataka staki sio kamanda naachia ngazi
Omba majina Amina kawa Amayna, Naima, Clara na Rayyah!
Kuna Tayana, Aneth hata bongo kuna Aaliya?
Candy, Nicole, Uenice au labda Marayah
Sikitu hataki jina na Asia anaitwa Eshia
Pamba hazibani ni hatari
Ni makusudi tuone mstari wa kufuli mambo ya kivazi
Wachumnba wote mpo pina wote funga kazi
Msiache washkaji wawafanye watumwa nyia ndio mama
Anayewaponda apate laana


**CHORUS---Mariam SK**

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAMA UNATAKA DEM -JAY MOE FT SoloThang n Q Chilah

CHORUS
Kama unataka dem, sema wataka aweje aweje,
Kama ukienda bugie, ungependa atokeje tokeje?
Marashi itakuwaje? angenukiajee?
Na akiwa mtaani, ungependa atokejeee?
Kama unataka dem, sema wataka aweje aweje,
Kama ukienda bugie, ungependa atokeje tokeje?
Marashi itakuwaje? angenukiaajee?
Na akiwa mtaani, ungependa atokejeee?


VERSE 1__JayMo

Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho,
Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi,
Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho
Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho,
Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta,
Belinda na Mose wakirealize vipi watadata?
Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita,
Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa,
Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun,
Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu,
Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya,
Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima,
Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama,
Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri
Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali,
Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari,
Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi,
Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi,
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje

CHORUS


VERSE 2__JayMo

Sasa nakwenda kwenye majina na heshima mahususi,
Kama Phobia, Judithi Domini au kama uups!
Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya?
Nadhani mamiss hawataniona tena mi mbaya
Ila awe mkweli, siyo mambo ya Miss California
Awe kama Sister Jay mweupe kama Eugenia,
Na maradhi niliyoyataja naomba msiwe na kinyongo,
Mi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo,
Kusema mtoto wa tajiri mi namchagua Regina,
Tukisema model ni Miriam Odemba au hapana,
Tukisema miss, Aminata Keita haina noma
I FM watakoma kwa muda wote ambao wanasoma,
Ila ataweza vipi kuimba RnB kama Stara?
Au ni sana Miss Color Bar wa leo kuwa msela
Nini gado kama Zeidin mrefu kama Bascilla,
Design Khadija mavazi akatoneshee kajara,
Nitahakikisha hakuna machozi kama Jay Dee
Sitosubira sema anakuja kama Sister P
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Kama ukija Bills utamuona amevaaje mevaaje

CHORUS


VERSE 3_SoloThang

Yoh nataka dem miguu mizuri kama Ray C
Macho kama Acy, alcoholic ka Sister V
Napenda dem awe sister dread kama Baby
Naogopa sana mpenda chapaa kama Dotty
Awe anapenda rap siyo bolingo kama Essy
Mchizi ka Nazizi ila bright kama Cecil
Mrefu siyo mfupi na nyama asiwe mwembamba
Hewani kama gesi kiuno kama Odemba,
Asiwe lady flani hajui kupiga pamba,
Avae kama Seven japo atoke bomba
Awe anajua kupika, awe anang'aa kama Sanka
Laini kama mafuta kwenye giza awe anawaka
Awe anang'ara, apoze zangu harara
Awe na sauti tamu kuliko ile ya Stara,
Siyo kauzi kama Nina bora mcheshi kama Norah
Ili nimpende sana waganga wasijenipora
Awe na ishi ama questions bila mamake Jipsy
Ili siku ikichacha tukakope hata chipsi
Maridadi, mvuto wa zamaradi
Apitapo maskani washkaji mpandwe midadi
Awe na uvundo ka zinduna, mjanja kama Munah
Awe na tabasam siyo kila siku ananuna,
Kama ntapata demu itakuwaje fikiria,
Lafudhi iwe tamu siyo kithethe ka Radiya
Hapo mimi ntadata kama Nature kwa Sonia
Hapo mimi ntadata kama Nature kwa Sonia

CHORUS

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom