Nani aliiba idea ya mwenzake, Mwana FA au Jay Mo?

Ikiisha njoo uulize ngoma hizi za Nature na Temba.

Mtoto Iddi kazua balaa::Juma Nature
Amekoma:: Mh Temba.

I
 
MABINTI DAM DAM -- MwanaFA ft Mariam SK


**CHORUS---Mariam SK**
Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!


~~MwanaFA VERSE I__

Wengine ndani jeans wengine ndani ya skirt
Wengine mini au magauni ya vitambaa vyepesi
Mradi istizahi wanipore uhuru wa nafsi
Weledi wa ajabu kwenye mambo ya chini ya paa
Kuna werevu wa ajabu kwenye mambo mengi bar
Hawanipi shida sio balaa
Na zaidi nawapenda mabinti watundu
Mapozi ya kichokozi au sio pozi vurugu
Mitindo ya kiyahudi hijabu zikatazo kichwa
Na mikogo ya kifisadi sio mmakini inapotosha
Unaona shanga za miguu naita vikuku
Ingawa wenye ufahamu nipotofu
Watoto wa ki9bongo hakuna mchezo
Kuna walatino waafrika na wasanta domingo
Kuna mpasua toka chini mpaka kando ya kiuno
Milango wazi kwa yeyote aliye na mdomo
Sijapoteza macho ya kuangazi warembo
Nakosa uzalendo nionyeshwapo miguu
Napata uchizi wa mtima
Choma fedha na muda sioni balaa
Natumai sifunzi hasaraa?
Ni hadithi na sio biashara
Ukishindwa Inshallah


**CHORUS---Mariam SK**

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!


~~MwanaFA VERSE II__

Kuna kifua kama cha zay B
Kiuno kama cha Ray C na pozi Jay D na sauti kama Fina
Au labda ya aunt Ndina ipo njema matabasamu
Kama binti Maumba wa kino Msio nidhamu
Mtafanywa mpende ngono Hold on!
Kuna pozi za kimtoni kama Tausi Likokola
Unataka ni full bakora mabinti wangali wanang'ara
Warefu warembo kama twiga mithili ya Happy Magese
Midomo kama ya Shose
Utapenda uonekane yaani viwanjani ututese
Au binti maarufu utasema Aina anatosha?
Kama nnataka mwanya nafahamu wapi ntaupata
Mwite Aminata wa keita
Binti wa vigogo unamtafuta Mboni Mhita?
Mwili utakaokufanya upende love kama wa Mercy
Na macho yanayovuta kama ya Miriam wa Ikoa
Unaweza utangaze ndoa
Wengine mziki kama Shanice
Au kama connie stephans
Naiota rangi ya Caroline na lugha tanu kama ya Seven
Najua mnawaita masister Du! bendera hewani
Sometimes wavute widdy Mentally japo wazuri
Mithili ya Kibibi
Miondoko kama Faudhia
Au ungependa kithethe mithili ya Radhia
Watoto wa shule wassiwafanye mpagawe
Ilhali kuna wenye haiba kama Halima Bandawe
Mi kwa mabinti -nisahauliwe


**CHORUS---Mariam SK**

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!

~~MwanaFA VERSE III__

Kuna mabinti wapo kamili kila idara familia bora
Akili zisio lala maumbo bomba na sura
Kuwapata ni full Gospel wao ni ajira na hawaitaji zaidi ya sera
Kuna mitego ya khanga mambo kitanga
Kama una jichohii unapaswa kuwa umeiona
Michirizi ya utamu nyuma ya goti mimi hoi
Una moyo hai hili sio toi pigo jingine kama Sunset
Ubishi haufai ona visa kwenye mitindo ya vichwa
Anuani pepe za mitandano na simu zinawehusha
Ukitaka upgawe njoo kiwanja
Jaribu kuwa mkweli nionapo vitovu wazi hakuna si mahututi mimi
Kuna wadada, wamama, masister du wote wapenzi
Wana nataka staki sio kamanda naachia ngazi
Omba majina Amina kawa Amayna, Naima, Clara na Rayyah!
Kuna Tayana, Aneth hata bongo kuna Aaliya?
Candy, Nicole, Uenice au labda Marayah
Sikitu hataki jina na Asia anaitwa Eshia
Pamba hazibani ni hatari
Ni makusudi tuone mstari wa kufuli mambo ya kivazi
Wachumnba wote mpo pina wote funga kazi
Msiache washkaji wawafanye watumwa nyia ndio mama
Anayewaponda apate laana


**CHORUS---Mariam SK**

Yaani shwari hamna shari
Mi na mabinti damdam, kweli kweli
Sababu zipo wazi mwenye macho aone enhh!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shukran sana umenifanya nijue baadhi ya mistari ya hii ngoma cz huwezi amini hii ngoma nlikuwa naizimia sn na mwana fa ngoma zake nyng nlikuwa nazijua ila hii noma, kuna baadhi ya mistari nlikuwa naongopa tu
 
KAMA UNATAKA DEM -JAY MOE FT SoloThang n Q Chilah

CHORUS
Kama unataka dem, sema wataka aweje aweje,
Kama ukienda bugie, ungependa atokeje tokeje?
Marashi itakuwaje? angenukiajee?
Na akiwa mtaani, ungependa atokejeee?
Kama unataka dem, sema wataka aweje aweje,
Kama ukienda bugie, ungependa atokeje tokeje?
Marashi itakuwaje? angenukiaajee?
Na akiwa mtaani, ungependa atokejeee?


VERSE 1__JayMo

Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho,
Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi,
Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho
Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho,
Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta,
Belinda na Mose wakirealize vipi watadata?
Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita,
Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa,
Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun,
Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu,
Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya,
Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima,
Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama,
Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri
Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali,
Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari,
Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi,
Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi,
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje

CHORUS


VERSE 2__JayMo

Sasa nakwenda kwenye majina na heshima mahususi,
Kama Phobia, Judithi Domini au kama uups!
Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya?
Nadhani mamiss hawataniona tena mi mbaya
Ila awe mkweli, siyo mambo ya Miss California
Awe kama Sister Jay mweupe kama Eugenia,
Na maradhi niliyoyataja naomba msiwe na kinyongo,
Mi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo,
Kusema mtoto wa tajiri mi namchagua Regina,
Tukisema model ni Miriam Odemba au hapana,
Tukisema miss, Aminata Keita haina noma
I FM watakoma kwa muda wote ambao wanasoma,
Ila ataweza vipi kuimba RnB kama Stara?
Au ni sana Miss Color Bar wa leo kuwa msela
Nini gado kama Zeidin mrefu kama Bascilla,
Design Khadija mavazi akatoneshee kajara,
Nitahakikisha hakuna machozi kama Jay Dee
Sitosubira sema anakuja kama Sister P
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Kama ukija Bills utamuona amevaaje mevaaje

CHORUS


VERSE 3_SoloThang

Yoh nataka dem miguu mizuri kama Ray C
Macho kama Acy, alcoholic ka Sister V
Napenda dem awe sister dread kama Baby
Naogopa sana mpenda chapaa kama Dotty
Awe anapenda rap siyo bolingo kama Essy
Mchizi ka Nazizi ila bright kama Cecil
Mrefu siyo mfupi na nyama asiwe mwembamba
Hewani kama gesi kiuno kama Odemba,
Asiwe lady flani hajui kupiga pamba,
Avae kama Seven japo atoke bomba
Awe anajua kupika, awe anang'aa kama Sanka
Laini kama mafuta kwenye giza awe anawaka
Awe anang'ara, apoze zangu harara
Awe na sauti tamu kuliko ile ya Stara,
Siyo kauzi kama Nina bora mcheshi kama Norah
Ili nimpende sana waganga wasijenipora
Awe na ishi ama questions bila mamake Jipsy
Ili siku ikichacha tukakope hata chipsi
Maridadi, mvuto wa zamaradi
Apitapo maskani washkaji mpandwe midadi
Awe na uvundo ka zinduna, mjanja kama Munah
Awe na tabasam siyo kila siku ananuna,
Kama ntapata demu itakuwaje fikiria,
Lafudhi iwe tamu siyo kithethe ka Radiya
Hapo mimi ntadata kama Nature kwa Sonia
Hapo mimi ntadata kama Nature kwa Sonia

CHORUS

Sent using Jamii Forums mobile app
Cku hizi mistari kwakweli hakuna, tukisema hawa wanaoimba na kuchana cku hz wamebaki matusi tu, huwa wanakataa, hebu angalieni mistari ilivyo migumu hii, dadadeki anaytwa Juma Mchopanga Jay Mo a.k.a Mo techniques salute mkuu
 
Ni tofauti ila idea ni moja (kutaja madem waliokuwa wanasumbua mjini wakati huo), na hizi ngoma zilitoka wakati mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa upande wng hz ngoma cwez kuchagua ipi ilikuwa bora zaidi ya nyngne mana zote kali na huwa znanifariji sn nkickiliza cz kuna mazingira huwa nayakumbuka huwa nackia raha yn kwng huwa ni km time travel, yn huwa yananirudisha nyuma sn kimawazo enzi hizo shule ya msingi daaahhh, japo mm nilikuwa nampenda sana FA (ECT), lkn ckuwahi kumkosea heshima Jay Mo hata cku moja cz cku zote amekuwa na ideas tofauti na wengine yn jamaa ni genius kwny career yake kwakweli.
 
Cku hizi mistari kwakweli hakuna, tukisema hawa wanaoimba na kuchana cku hz wamebaki matusi tu, huwa wanakataa, hebu angalieni mistari ilivyo migumu hii, dadadeki anaytwa Juma Mchopanga Jay Mo a.k.a Mo techniques salute mkuu

Usiishie tu kuappreciate mistari migumu, rudi nyuma uone walivyoandika walikuwa na umri gani.?

Ni vipaji halisi kwa kweli.
 
Usiishie tu kuappreciate mistari migumu, rudi nyuma uone walivyoandika walikuwa na umri gani.?

Ni vipaji halisi kwa kweli.
Sure kabisa mkuu, ndo mana huwa nasema dogo Aslay ndio kizazi kilichopita ambacho kipo ss, yn hawa waimbaji wetu wa ss ukitoa Aslay nyimbo zao nyingi znabebwa na videos ila km ingekuwa ndo km enzi zile nyimbo nyng zingebuma
 
Si unaona wadau wametoa jibu hapo juu, FA mjanjamjanja so sio ajabu kumzunguka jamaa, JayMoe hanaga tatizo na mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah Jaymoe hajawahi kuwa snitch, jamaa tng anaanza mpk ss yuko vile vile habani pua wala hana za kusema cjui anaenda na wkt ila anaruka nao na wanaelewa, that's the real definition of h.i.p h.o.p
 
Cku hizi mistari kwakweli hakuna, tukisema hawa wanaoimba na kuchana cku hz wamebaki matusi tu, huwa wanakataa, hebu angalieni mistari ilivyo migumu hii, dadadeki anaytwa Juma Mchopanga Jay Mo a.k.a Mo techniques salute mkuu
Ukipenda muite "Mbakiaji"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom