Nani alaumiwe yanapotoka matokeo mabaya ya form4

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Matokeo ya mwaka jana yalizua gumzo,wanafunzi wa kidato cha 4 walifeli,unathani wa kwanza kulaumiwa awe nani,je wanafunzi,walimu,ama waliotunga mitihani,ama nani
 
Matokeo ya mwaka jana yalizua gumzo,wanafunzi wa kidato cha 4 walifeli,unathani wa kwanza kulaumiwa awe nani,je wanafunzi,walimu,ama waliotunga mitihani,ama nani

mimi nadhani kila mahali kuna mapungufu yake, na kila sekta yapaswa kulaumiwa, kuanzia serikali - haitoi vipaumbele vya kutoshe katika elimu, mishahara midogo kwa waalimu, vifaa vya kufundishia n.k, waalimu wenyewe, wamekua sio wa kujituma, wanachakachua fedha kutoka wizarani, wanakimbia madarasa na kwenda kufundisha tution kutokana na kipato kidogo n.k, na pia wanafunzi wengine siku izim usharobaro mwingi, kujiingiza katika maswala ya mapenzi wakiwa na umri mdogo hence concetration shuleni kupungua n.k,,, kwahiyo, kwa upande wangu mimi, circle nzima ni ya kulaumiwa, fault haiko katika sehemu moja wapo tu, bali the whole system
 
mimi nadhani kila mahali kuna mapungufu yake, na kila sekta yapaswa kulaumiwa, kuanzia serikali - haitoi vipaumbele vya kutoshe katika elimu, mishahara midogo kwa waalimu, vifaa vya kufundishia n.k, waalimu wenyewe, wamekua sio wa kujituma, wanachakachua fedha kutoka wizarani, wanakimbia madarasa na kwenda kufundisha tution kutokana na kipato kidogo n.k, na pia wanafunzi wengine siku izim usharobaro mwingi, kujiingiza katika maswala ya mapenzi wakiwa na umri mdogo hence concetration shuleni kupungua n.k,,, kwahiyo, kwa upande wangu mimi, circle nzima ni ya kulaumiwa, fault haiko katika sehemu moja wapo tu, bali the whole system

huu uzi uishie hapa maana mkuu umetoa mawazo ya kila great thinker humu kwenye jukwaa...good explanations.
 
Serikali siyo ilaumiwe tu bali iondolewe

KWANINI??
-Sera ya Elimu mbovu
-kuondolewa kwa mitihani ya form2
-kutokupeleka vifaa vya kujifunzia shuleni
-kutokuwajali wataalamu(walimu) wetu
-kubadili mitahala hovyohovyo
-uwepo wa matabaka katika kutoa elimu kwa watoto wetu
-n.k n.k

Serikali mbovu inazaa yote hayo.
 
Sidhani kama kuna wa kulaumiwa hapo!
Mwalimu hafundishi kwa ajili tu ya kufaulu MTIHANI, bali anafundisha kwa ajili ya kutoa UJUZI (to inculcate the SKILLS)
Baraza la mitihani hutunga mitihani kwa ajili ya kupima academic endeavour ya mwanafunzi na kuchuja, na kupanga kwa madaraja, grading. Na sio kufaulisha hata wasio na uwezo i.e rubber stamping.
 
Back
Top Bottom