Nang'atuka rasmi kutoka CCM

ni uamuzi mzuri,
leo nimelia sana kusikia kuwa ben alimwua mwl.
miwani imelowa machozi, lol.

Mbali na kulia nimejitoa kwenye chama, nkumbuka nilivyolia wakati naumwa! then nkumbuka mkapa alivyokuwa anatusanifu, mpaka najiuliza kapt komba alitumia muda gani kuandaa nyimbo na kutoa album! alijuaje kama mwalimu anakufa mpaka akarekodi nyimbo zote za album nzima? hapo ndo nachanganyikiwa!
 
HOW STRANGE FOR THE 'EMINENT' AFRICAN LEADER MKAPA STRIPPING-OFF THE NYERERE CLAN BEDROOM-ISSUES ON A PUBLIC POLITICAL PODIUM IN ARUMERU MASHARIKI, WHO TO BLAME???

Uchungu wa Baba wa Taifa tunaujua WaTanzania tunaozulumiwa na CCM kila kona ya taifa hili.

Hata siku moja tusisikie mwana Ukoo wa Mwalimu Nyerere yeyote yule KAPATWA NA HOMA WALA KWIKWI baada ya taarifa hizi sasa kuwekwa hadharani kutokana na kubwatuka ovyo kwa Mzee Mkapa huku akidhani ni sifa.

Nasema siku zote wahenga hututaadharisha kwamba mtu UNAPOISHI KATIKA NYUMBA YA KIOO HATA SIKU MOJA USIPENDE SANA MCHEZO WA KURUSHA MAWE ovyo!!!

sipati picha jinsi alivyovimba huko...anatamani ingekua ndo enzi zake yupo madarakani pangechimbika.
 
Ta Kamugisha, waguma?

Kwa hiyo Mkuu unataka nami niamini kuwa Jk Nyerere aliuawa na wala si kwamba aliugua Leukemia? Nadhani wewe umeamini na ndio maana imekuwa ni sababu ya kujitoa kwenye chama chako. Haya bwana nyegera kwetu tusiokuwa na vyama.


iTS ALL ABT POLITIKS UUHHH....
I DID NOT NEED ANYONE TO TELL ME THIS ,,,, THT NYERERE WAS MURDERED BY THE GREEDY MKAPA
WAT WAS UR IMPRESSION WEN TANZANIA GAVE ALL OF HER INVESTMENTS TO CAPITALISTS NAMED A GOOD NAME ''PRIVATIZATION'' IMMEDIATELY AFTER NYERERE''S DEATH
BECAUSE THE SO NAMED PRIVATIZATION SPEED WAS UNEXPLAINABLE IT WAS AS IF THE PROCESS WAS PRE PLANNED FOR YEARS BEFORE ........

HADI ILIKUWA INASIKITISHA KWANI UNAJIULIZA HIVI KWA NINI WANAUZA NBC BIL 15 TZS KUNA HARAKA GANI?
UKIMUULIZA MKAPA ZE KUPE EXECUTIVE BY THEN ANAKASIRIKA BILA YA SABABU.....

WALIMUUA OFCOZ HATA MAMA MARIA ANAJUA HILI ......
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"

MyTake:
Changia bila kutukana.

umechelewa sana kutoka humo ila maneno mengi ya nini si utoke tu
 
Wee dogo akili yako haijatulia kabisa. Wee kila mtu unafikiria anawaza kwa masaburi na kumwona ni mdogo wako, mtu mwenyewe 1999 ulikuwa form four halafu unajiona mkubwa kuliko wengine wote hapa JF. Kuhusika ni kufanyeje sasa? Kama tukisema umehusika katika mauaji si manake umeua? Sasa leta ushahidi wa namna Mkapa alivyohusika. Au na wewe umekuwa mpayukaji kama mtoto wa kufikia wa Nyerere? Hili ni jukwaa la great thinkers leteni vitu vyenye ushahidi na siyo upayukaji tu. Mtalifanya hili jukwaa likose heshima.

unaweza kuwa mkubwa kiumri lakni kiakili ukawa mdogo, ushaidi atautoa vicent atakaposhtakiwa na mkapa, kuhusika c lazma uue! unaweza kusaidia au kutoa ruhusu ya kuuawa mtu fulani, kwani jk akitoa ruhusa ya mtu kunyongwa anakuwa ameua au amehusia kuua?
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"

MyTake:
Changia bila kutukana.


Horace Kolimba naye ilikuwaje ?
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"

MyTake:
Changia bila kutukana.


hongera sana,naona namba ya kadi umeweka lakini kuna watu humu eti hawaioni
 
Ta Kamugisha, waguma?

Kwa hiyo Mkuu unataka nami niamini kuwa Jk Nyerere aliuawa na wala si kwamba aliugua Leukemia? Nadhani wewe umeamini na ndio maana imekuwa ni sababu ya kujitoa kwenye chama chako. Haya bwana nyegera kwetu tusiokuwa na vyama.

kimbunga leukemia inawea kua induced na sumu
 
Hakuna kifo kilichoniuma kama hicho aisee!Siyo siri kifo hiki kilinisababisha niwe mwananchi huru nisiye na chama mpaka leo!!

kabla sijajiunga CDM kwa nini mbowe wanasema alimuua Chacha wangwe? kama mbowe ni kweli anahusika au jamaa yeyite wa CDM sasa hii ni hatari chama cha upinzani kisichokua na dola kuua wasiowataka je wakichukua dola anani atamzuia mbowe kuua zaidi? tunaona mafisadi waliokubuhu wa CCM wakiua au kutaka kuua wenzao na hapa wakiwa na network na dola nyuma yao sasa hawa wa CDM inanipa shaka kubwa na kupenda madaraka kwa mbowe et el
 
kabla sijajiunga CDM kwa nini mbowe wanasema alimuua Chacha wangwe? kama mbowe ni kweli anahusika au jamaa yeyite wa CDM sasa hii ni hatari chama cha upinzani kisichokua na dola kuua wasiowataka je wakichukua dola anani atamzuia mbowe kuua zaidi? tunaona mafisadi waliokubuhu wa CCM wakiua au kutaka kuua wenzao na hapa wakiwa na network na dola nyuma yao sasa hawa wa CDM inanipa shaka kubwa na kupenda madaraka kwa mbowe et el
Kwanini umetoroka Milembe?
?
 
Mbali na kulia nimejitoa kwenye chama, nkumbuka nilivyolia wakati naumwa! then nkumbuka mkapa alivyokuwa anatusanifu, mpaka najiuliza kapt komba alitumia muda gani kuandaa nyimbo na kutoa album! alijuaje kama mwalimu anakufa mpaka akarekodi nyimbo zote za album nzima? hapo ndo nachanganyikiwa!
Mkuu nimejiuliza swali kama lako kuhusu zile nyimbo za Komba, alijuaje kama mwalimu atakufa mpaka akaandaa nyimbo nyingi vile?....

Kweli damu ya mwalimu itamlilia Mkapa milele!
 
(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

mwenye hili jina ndio nani au mleta mada amelewa kidogo.
 
"Changia bila kutukana"

kwa nini unatoa masharti wakati we umetukana,unataka kusema we ni wa maana kuliko wengine???
 
"Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4"

"Nipeni ushawishi wa kutosha"


wewe akili yako bado changa,haijakomaa na haujawa mtu mzima bado

pili wewe ni mtu wa tamaa tamaa tu
hauna msimamo,

unafuata upepo,unavovuma ukivuma kuelekea kaskazini unageuzwa,na ukielekea kusini nawe umo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom