Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
- Thread starter
- #81
ni uamuzi mzuri,
leo nimelia sana kusikia kuwa ben alimwua mwl.
miwani imelowa machozi, lol.
Mbali na kulia nimejitoa kwenye chama, nkumbuka nilivyolia wakati naumwa! then nkumbuka mkapa alivyokuwa anatusanifu, mpaka najiuliza kapt komba alitumia muda gani kuandaa nyimbo na kutoa album! alijuaje kama mwalimu anakufa mpaka akarekodi nyimbo zote za album nzima? hapo ndo nachanganyikiwa!