Nang'atuka rasmi kutoka CCM

Nang'atuka rasmi kutoka CCM

Wewe siyo mwanachama wa CCM, ndiyo maana hata hujui kuwait Hayati Karume ailiuaw kabla ya kuzaliwa kwa CCM. Ulivyo na mawazo ya kishirikina hakuna anaekufa au kufariki bila kuuawa. Wewe ni Chadema damu ambae ungependa kuona umwagaji aw damu katika nchi yetu. Unasema Nyerere ndiyo model wako, lakini unapingana kabisa na kile alichokiamini yaani haki kwa njia ya Amani, na alikuwa mkweli ili Hali wewe ni mwongo.
 
C lazima niiandike yote, ndo maana nkatoa nafasi ya wao kunishawishi nibaki kuwa vitendo hivyo havikufanywa na ccm, na nikatoa nafasi kwa wapinzani wanishawishi, nadhani umenielewa.

Na kwa taarifa yako, hakuna Mhaya yeyote yule ambae ni Mweupe kichwani hata kama hajaenda shule na kwa taharifa yako tu mimeshapita kwenye ngazi za degree, sawa dogo. Hivyo si mweupe kichwani kama unavyofikiria.

kuna mhaya mmoja jirani yangu ni kilaza kweli
 
Ongeza vifo hivi
f). Gibson Mwaikambo
g). Professor Mwaikyusa
h). Stan Katabalo
i). Horace Kolimba

Wengine endelezeni


Mkuu unamaanisha Prof Juan Mwaikusa yule aliyekuwa mwanasheria?Kama ni hivyo mkuu hapo umechapia,huo ulikuwa ni mkono wa Kagame na masuala ya 1994 Genocide,Magamba hawahusiki hata kidogo hapo!!
 
kama kweli una imani haba kwamba ipo siku binadamu lazima tufe kwenye orodha yako ongeza na vifo vifuatavyo:-

1. Ragia Mtema
2. Chacha Wangwe.
3. mgombea mwenza wa chama fulani aliyesababisha kuahirisha uchaguzi mkuu mwaka 2005.
4. Abeid Amani Karume


Hakuna kifo kilichoniuma kama hicho aisee!Siyo siri kifo hiki kilinisababisha niwe mwananchi huru nisiye na chama mpaka leo!!
 
Na watu waliokufa muhimbili kwa sababu ya mgomo wa madaktari nayo chanzo ni CCM.
 
Unahama chama kisa tetesi?
Nenda kawavuruge na hao pia.
OTIS
 
Wewe siyo mwanachama wa CCM, ndiyo maana hata hujui kuwait Hayati Karume ailiuaw kabla ya kuzaliwa kwa CCM. Ulivyo na mawazo ya kishirikina hakuna anaekufa au kufariki bila kuuawa. Wewe ni Chadema damu ambae ungependa kuona umwagaji aw damu katika nchi yetu. Unasema Nyerere ndiyo model wako, lakini unapingana kabisa na kile alichokiamini yaani haki kwa njia ya Amani, na alikuwa mkweli ili Hali wewe ni mwongo.

Mod,

Huyu jamaa kapataje usenior member na post 87???

Mtoa hoja na huyu bwna hawana tofauti??
 
Wewe siyo mwanachama wa CCM, ndiyo maana hata hujui kuwait Hayati Karume ailiuaw kabla ya kuzaliwa kwa CCM. Ulivyo na mawazo ya kishirikina hakuna anaekufa au kufariki bila kuuawa. Wewe ni Chadema damu ambae ungependa kuona umwagaji aw damu katika nchi yetu. Unasema Nyerere ndiyo model wako, lakini unapingana kabisa na kile alichokiamini yaani haki kwa njia ya Amani, na alikuwa mkweli ili Hali wewe ni mwongo.

kumwaga damu kumetoka wapi? soma vzr kijana nimekwambia mm nilikuwa mwana ccm damu, nkudanganye ili iweje? niwe mwanachama wa chadema ili iweje? nimejipambanu kwa ufasaha, na nkasema atakaye nivutia na sela yake najiunga na chama chake, wacha kutumia umasaburi kufikiria
 




(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM





Kirefu cha ccm ni chama cha mauaji, so kama unataka kuwa miongoni mwa wauaji wa watanzania ni vema ukajiunga ccm, ila kama unataka kuwa mtetezi wa wanyonge kimbia
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Mkuu kile kifo cha Mzee Horace Kolimba je??? CCM ni noma japo umejitahidi kukaa mda wote huo kwenye chama hiki. hata mabomu ya gongo la mboto na mbagala tatizo ni ubishi wa mwenyekiti wa CCM. Aliambiwa mapema kuwa yameisha mda wake ila yeye akatabasam tu.

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"

MyTake:
Changia bila kutukana.


Mkuu hata yale mabomu yalioua lundo la watu kule gongo la mboto na mbagala ni uzembe wa mkuu wa kaya. Aliambiwa mapemam sana kuwa hali itakuwa mbaya ila akashangaa na kutabasam kama kawaida yake
 
Masahihisho, mimi sasa nina miaka 63 sijawahi kunywa pombe, ila nina uhakika walevi hawaogopi kusema ukweli waliona. Na hapa analogy yako si sahihi Mkapa was sober and VJN was sober ni kuwa hatukuwa tayari kusikia taarifa hii kwa kiwango hiki toka kwa watu hawa.

Nakushauri mtoa mada huna haja yakututangazia kutoka kwako CCM. Toka kimya kimya you will not regret.

Mbona ukienda kanisani unatangaza kuokoka? na mbona watu wanatangaza kuama vyama tena majukwaani na kwa mbwembwe na kufanyiwa sherehe? hapo mm nimekosea nn kujitangaza kuhama chama?
 
Samahani sana kama ntakuhudhi,

haya ni maoni yangu toka moyoni na sikushawishiwa na mtu yoyote:

Nikili kwamba mimi ni Mwanachama hai wa CCM na si utani. Chama nilikipenda toka moyoni, Ila kwa kwa sasa nabwaga manyanga Rasmi mimi si mwanachama tena wa CCM. Nilijiunga na CCM Mwaka 1999 nikiwa Form 4 hapo jijini DSM tena kwa Moyo mmoja kwa kadi No.1267...., tena kutokana na Mapenzi yangu ya dhati kwa Mwl. JK NYERERE. Na alipokufa nilisikitika sana tena sana, nakumbuka kipindi hicho nilikuwa najiandaa na Mitiana ya Form 4 na tena nilikuwa naumwa typhod kali sana na kidogo iniue! Ila nilijikongoja toka kitandani mpaka pale maeneo ya sanyansi enzi hizo pakijulikana Maji machafu kushuudia mwili wa mwalimu JK NYERERE ukipitishwa hapo. Kiukweli nililia sana na nkazidiwa na kukimbizwa hospital baada ya kuzidiwa ghafla na jua kali lililokuwa limenichapa. Nashukuru mungu aliniepusha na kifo.

SABABU ZA KUTOKA CCM:

1. Jana nimepata tena mshutuko wa ajabu baada ya kusikia kuwa chama changu (CCM) kilihusika katika kifo cha Mshawishi wangu wa kujiunga na CCM (JK NYERERE), kweli nimeumia sana.

2. Hii imepelekea nianze kuanimi maneno ya wapinzani kuwa CCM ni chama cha wauaji, achilia mbalil maswala ya UFISADI, maana Tanzania bila ufisadi haiwezekani, ndo maana kila mtu ni fisadi katika ofisi yake, na hakuna anayeweza kulipinga, maana bila ufisadi hakuna hata mmoja nayeweza kujenga kwa kutumia mishahara yetu. Nisingependa kuegemea katika swala la ufisadi.

3. Hii imenipele niamini kuwa chanzo cha vifo vya watu mbali mbali ndani ya CCM ni Mkono wa CCM wenyewe! Ntatoa mifano Hai:-

(a) Kifo cha Kigoma Malima, Utata Mtupu mpaka leo..........Mhusika ni CCM

(a) Kifo cha Kombe, Utata Mtupu mpaka leo......................Mhusika ni CCM

(b) Kifo cha Sokoine, Utata mtupu mpaka leo....................Mhusika ni CCM

(c) Kifo cha Daudi Balal, Utata Mtupi mpaka leo...................Mhusika ni CCM

(d) Kifo cha Halima Chifupa Utata mtupu mpaka leo............Mhusika ni CCM

(e) Kifo cha Aman Abeid karume Utata mtupu mpaka leo....Mhusika ni CCM

(f) Kifo cha Omary Ally Juma Utata mtupu mpaka leo ........Mhusika ni CCM

(g) Kifo cha JK NYERERE nacho leo wanasema ...................Mhusika ni CCM




Na sasa kuna maneno mengine juu ya ugonjwa wa Dr. Mwakyembe na Prof Mwandosya kuwa chanzo ni CCM, Jamani kwanini niendelee kuwa mwanachama wa chama hiki? Tafadhali wana CCM Mliokuwa wenzangu nipeni ushawishi wa kutosha wa kwanini nibaki katika hiki chama na Wapinzani nipeni sela zenye mashiko ya kujiunga na chama chenu la sivyo nakaa bila kuwa mwanachama wa chama chochote katika maisha yangu yote kuanzia leo.

"NIMEUMIA SANA NA HABARI HII YA MKAPA KUHUSIKA KATIKA KIFO CHA JK.NYERERE NA IMENITOA RASMI CCM"

"MUNGU MLAZE PEMA MWL. JK NYERERE NA TUNAMPENDA SANA, WOTE WALIOHUSIKA WATAHUKUMIWA HAPA HAPA DUNIANI NA UMPE NGUVU MAMA MARIA NYERERE NA FAMILIA YAKE ASIDANGANYIKE KUUKANA HUU UKWELI MAANA WATAMWANDAMA SANA KUPITIA TBC ILI AYAKANE NA KUMKANA V. NYERERE KUWA SI MWANA FAMILA NA AMEKURUPUKA"

MyTake:
Changia bila kutukana.


Mimi mpaka leo siamini kama J. K. Nyerere alikuwa anaumwa. Ilikuwa gafla sana na kuna mtu aliwahi niambia kuhusu hii inshu na Nyerere alikataa kwenda kutibiwa inje akijua hatapona. RIP J.K wa ukweli
 
Mkuu unamaanisha Prof Juan Mwaikusa yule aliyekuwa mwanasheria?Kama ni hivyo mkuu hapo umechapia,huo ulikuwa ni mkono wa Kagame na masuala ya 1994 Genocide,Magamba hawahusiki hata kidogo hapo!!

Kwa uwezo wa TISS ya nchi yetu, Kagame hawezi kutuma vijana wake wakafanya mauaji yale bila Mkuu wa kaya kutoa kibali.
 
wanasiasa we2 hawajakomaa na cc wananchi hutujajua ni nn wanasiasa wanatakiwa ku2ambia. Cc sote tumepotea.. mfano una kiu ya maji akija mtuu akikudanganya kuwa usipokunywa maji utakuwa tajiri nafikiri utafurahi na kuwa na matumaini hayo , lakini ukweli utabaki palepale kuwa bado utaendelea kuwa na kiu ya maji. Maana yake ni nn mtachagua viongozi kwa ushabiki au kwa kudanganywa na maneno huku uwezo wa kuwaletea maendeleo hawana.. sasa mtu anapiga kampen kwenye jimbo lenye matatizo ya barabara, afya, maji na n.k badala ya kuongelea matatizo yaliyopo anazungumza kuhusu vifo vya watu wengine, huu ni uchochezi.

Damu ya mtu haipotei au haimwagiki bure! ipo cku tu itaongea! na inaongea kupitia kwa mtu, kama alivyofanya v nyerere.
 
Juma Kapuya, je yuko wapi profesa wetu mchapakazi?
 
na wengine ambao wanang'atuka na huyu muheshimiwa tunawatakia safari njema na mawazo na fikra zenu ambazo hazina udhibitisho wa kimazingira wala nini..ni kama wasomi walio lundika vyeti na vyeti ndani na mtaani wanaheshimika na wao wakiongea na kuandika huonekana wanafanya kile cha maana tu lakini hii leo mtu anakwambia anang'atuka na sababu zake anaziorodhesha yumkini ana ushahidi...hivi mkubwa me sikuweki kundi tofauti na wale watu ambao wakipita mahara kuna harufu mbaya au mtu kachafua hewa wanatema mate badala ya kupenga kamasi...afu ukimuuliza kwa nin unatema mate?ati anakwambia husikii harufu mbaya...fikiri unaposoma hii post we unayejiengua chamani ili unielewa pongezi nilizokupongeza.
 
Back
Top Bottom