Nanenane Simiyu vs SADC trade exhibitions Dar: Matukio makubwa kwa wakati mmoja, kuna ufanisi?

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Nitoe pongezi kwa kuwepo maonyesho yote mawili. Na pia nitoe pole kwa viongozi waandamizi wa Serikali na Mawaziri kwa shuruba za usimamizi wa mambo 2 kwa wakati mmoja.
Nimefika Nanenane Simiyu nimeona hali ilivyo. Ni viongozi wachache wanaotembelea maonyesho hayo, hasa Mawaziri, na kiukweli yamepooza kwa kiasi fulani. Na hata wanaotembelea, wanaruka mabanda mengi na kutembelea machache tuu. Mfano naibu Waziri wa Viwanda.
Ninajiuliza kwenye hali kama hii ukizingatia maonyesho ya Sadc yamefunguliwa jana na Mh. Rais hali itakuwaje.
TBC na vyombo vingine vya habari, vitaweza kumudu kutoa dozi ya kutosha kwa kuhabarisha ipasavyo potepote. Au attention kubwa itakuwa upande wa Sadc ?
Naona kuna kila dalili, hamasa na matarajio ya maonyesho haya 2 ikapungua sana.
 
Nitoe pongezi kwa kuwepo maonyesho yote mawili. Na pia nitoe pole kwa viongozi waandamizi wa Serikali na Mawaziri kwa shuruba za usimamizi wa mambo 2 kwa wakati mmoja.
Nimefika Nanenane Simiyu nimeona hali ilivyo. Ni viongozi wachache wanaotembelea maonyesho hayo, hasa Mawaziri, na kiukweli yamepooza kwa kiasi fulani. Na hata wanaotembelea, wanaruka mabanda mengi na kutembelea machache tuu. Mfano naibu Waziri wa Viwanda.
Ninajiuliza kwenye hali kama hii ukizingatia maonyesho ya Sadc yamefunguliwa jana na Mh. Rais hali itakuwaje.
TBC na vyombo vingine vya habari, vitaweza kumudu kutoa dozi ya kutosha kwa kuhabarisha ipasavyo potepote. Au attention kubwa itakuwa upande wa Sadc ?
Naona kuna kila dalili, hamasa na matarajio ya maonyesho haya 2 ikapungua sana.
Wakulima tupo kwenye maonesho haya ya nanenane tu, SADC tunawaachia mawaziri wetu
 
Wakulima hamna bidhaa za kuonyesha huko SADC ili mpate soko? Mmejigawaje?
Ngoja wenyewe waje mkuu, mimi nipo zangu huku Matombo nakula Embe ng'ong'o na kuvuna mpunga wangu muda huu
 
Ngoja wenyewe waje mkuu, mimi nipo zangu huku Matombo nakula Embe ng'ong'o na kuvuna mpunga wangu muda huu
SADC lenyewe hilo halina maana yeyote kwa sisi wa huku Manyovu hivyo bora nanenane coz kila siku matangazo mwisho wa siku huoni hata matekelezo
 
Hapo mwishoni uliyoandika.. umeonyrsha ulivyo
Ungetulia na kuyaona ingekuwaje bila kutia maneno yako haya ya ajabu

Ninajiuliza kwenye hali kama hii ukizingatia maonyesho ya Sadc yamefunguliwa jana na Mh. Rais hali itakuwaje.
TBC na vyombo vingine vya habari, vitaweza kumudu kutoa dozi ya kutosha kwa kuhabarisha ipasavyo potepote. Au attention kubwa itakuwa upande wa Sadc ?
Naona kuna kila dalili, hamasa na matarajio ya maonyesho haya 2 ikapungua sana.
 
Hapo mwishoni uliyoandika.. umeonyrsha ulivyo
Ungetulia na kuyaona ingekuwaje bila kutia maneno yako haya ya ajabu
Ni sawa. Naomba uchukue yale ya msingi.
Lengo ni jema, kuboresha.
Pia jitahidi utembelee sehemu hizi au mojawapo, tujadili mwishoni.
 
Watu wengine mmeumbwajwe?

Kwani maonesho HUFANA kwa kutembelewa na viongozi au kwa wakulima kuwa na mazao ya kuonesha? Hizi akili zetu mgando ndio zinatufanya tufanywe mamburula, maana tunalose focus asubuhi mapemaaa! Yaani unaamini 8'8 haifani mpaka fulani ahutubie mambo ya siasa?

Hebu liangalie tu hili la saba saba ya miaka hii. Back then, saba saba ilikuwa National Peasants Day ambapo maonesho hayo yalipewa umuhimu mkubwa sana na wakulima nchi nzima, na yalikuwa maonesho ya kilimo hasa na sio siasa. Miaka imepita, 7'7 imefanywa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara, tena ya Dar es Salaam peke yake DITF (Dar es Salaam International Trade Fair)

Kama vituko hivyo havitoshi, 7'7 sasa inaelekea kuwa maonesho ya kisiasa. Mwaka 2016 with my naked eyes nilishuhudia BANDA LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, hapa majicho kodo nisijue NEC ni wafanyabiashara na bidhaa zao ni zipi.

Mi ningeshauri tuheshimu maudhui. Nane Nane waachiwe wakulima wafanye yahusuyo kilimo, siasa na biashara zipewe majukwaa yake.
 
Watu wengine mmeumbwajwe?

? Hizi akili zetu mgando ndio zinatufanya tufanywe mamburula, maana tunalose focus asubuhi mapemaaa! Yaani unaamini 8'8 haifani mpaka fulani ahutubie mambo ya siasa?

Hebu liangalie tu hili la saba saba ya miaka hii. Back then, saba saba ilikuwa National Peasants Day ambapo maonesho hayo yalipewa umuhimu mkubwa sana na wakulima nchi nzima, na yalikuwa maonesho ya kilimo hasa na sio siasa. Miaka imepita, 7'7 imefanywa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara, tena ya Dar es Salaam peke yake DITF (Dar es Salaam International Trade Fair)

Kama vituko hivyo havitoshi, 7'7 sasa inaelekea kuwa maonesho ya kisiasa. Mwaka 2016 with my naked eyes nilishuhudia BANDA LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, hapa majicho kodo nisijue NEC ni wafanyabiashara na bidhaa zao ni zipi.

Mi ningeshauri tuheshimu maudhui. Nane Nane waachiwe wakulima wafanye yahusuyo kilimo, siasa na biashara zipewe majukwaa yake.
Mkuu, achana na nadharia kama hizo. Fika kwenye grounds hizo.
Pia, lengo la mada ni kuwakumbusha wadau hasa wakulima wajipange vzr kwenye matukio hayo mawili, ndo mwishoni nimecomment dalili zinazoonekana kwa sasa.
Mwisho. Usiwe mwepesi kujiingiza kwenye mjadala ukiwa na hasira za nje ya mada kama inavyoonekana hapa.
Lengo unalosema 8'8 ni wakulima kuonyesha bidhaa siyo sahii! Karibia nusu ya Viwanja vya 8'8 pale Simiyu vina mabanda ya wafanyabiashara na taasisi za umma mf benki nk. Kuna zaidi ya kuonyesha bidhaa tuu ikiwa ni pamoja na kuuza na kununua bidhaa na huduma, kutafuta masoko nk. So, wingi wa watu ni muhimu sana! Ukumbuke, hamasa ya exhibitions kama hizi ni pale viongozi wanapofika na kuungana na Wakulima.
 
Mkuu, achana na nadharia kama hizo. Fika kwenye grounds hizo.
Pia, lengo la mada ni kuwakumbusha wadau hasa wakulima wajipange vzr kwenye matukio hayo mawili, ndo mwishoni nimecomment dalili zinazoonekana kwa sasa.
Mwisho. Usiwe mwepesi kujiingiza kwenye mjadala ukiwa na hasira za nje ya mada kama inavyoonekana hapa.
Lengo unalosema 8'8 ni wakulima kuonyesha bidhaa siyo sahii! Karibia nusu ya Viwanja vya 8'8 pale Simiyu vina mabanda ya wafanyabiashara na taasisi za umma mf benki nk. Kuna zaidi ya kuonyesha bidhaa tuu ikiwa ni pamoja na kuuza na kununua bidhaa na huduma, kutafuta masoko nk. So, wingi wa watu ni muhimu sana! Ukumbuke, hamasa ya exhibitions kama hizi ni pale viongozi wanapofika na kuungana na Wakulima.
Sidhani kama umenielewa niliposema kuwa TUMEPOTEZA MAUDHUI. Kama hizo benki na mabanda ya wafanyabiashara unayoyasema hapo Simiyu yana uhusiano na kilimo, sioni shida lkn kuniambia ni kuwa ni sahihi nusu ya mabanda yatumike kufanya biashara za maplastiki sijui na taasisi za umma kuuza sura, hayo ni nje ya maudhui ya sherehe za 8'8.

Nilipotoa mfano wa NEC kuwa na banda 7'7 ungenizingatia na kunielewa vyema usingerudi na haya haya. NEC ni TUME YA UCHAGUZI na SABA SABA ni MAONESHO YA BIASHARA, je NEC wanafanya biashara gani? Maudhui ya 7'7 na uwepo wa the likes of NEC vinaendana?

Huku Simiyu shida haipo kwa kukosekana viongozi, shida ipo kwa kukosekana TAASISI IMARA kwenye sekta ya kilimo. Huu sio wakati wa wanasiasa, huu ni wakati wa SUA, SUMA JKT, MKULIMA, PRIMARY INDUSTRIES na kadhalika na sio wafanyabiashara wa mabeseni ya plastiki., BENKI ikija hapa ije kuuza product zenye kuwahusu wakulima. MIkopo ya pembejeo, bima za mazao na kadhalika.

Hao unaodhani wamekosekana hawana impact kubwa ya kuboost maudhui kama ambavyo tungekuwa na impact kama tungekuwa na taasisi imara kwenye sekta ya kilimo. Kila mwaka wapo na kilimo kimedoda na ndio maana leo hali ipo kama unavyoiona. Huu ni uwanja wa
1. MTAFITI WA MBEGU
2. MNUNUZI WA MAZAO GHAFI
3. MTENGENEZAJI WA PEMBEJEO NA ZANA
4. MUONGEZA THAMANI YA BIDHAA GHAFI
5. TAASISI ZA USHAURI NA FEDHA n.k

Hao kina hamasa sijui na mwenzao nani wapeleke hamasa zao kwenye sherehe za Muungano
 
Sidhani kama umenielewa niliposema kuwa TUMEPOTEZA MAUDHUI. Kama hizo benki na mabanda ya wafanyabiashara unayoyasema hapo Simiyu yana uhusiano na kilimo, sioni shida lkn kuniambia ni kuwa ni sahihi nusu ya mabanda yatumike kufanya biashara za maplastiki sijui na taasisi za umma kuuza sura, hayo ni nje ya maudhui ya sherehe za 8'8.

Nilipotoa mfano wa NEC kuwa na banda 7'7 ungenizingatia na kunielewa vyema usingerudi na haya haya. NEC ni TUME YA UCHAGUZI na SABA SABA ni MAONESHO YA BIASHARA, je NEC wanafanya biashara gani? Maudhui ya 7'7 na uwepo wa the likes of NEC vinaendana?

Huku Simiyu shida haipo kwa kukosekana viongozi, shida ipo kwa kukosekana TAASISI IMARA kwenye sekta ya kilimo. Huu sio wakati wa wanasiasa, huu ni wakati wa SUA, SUMA JKT, MKULIMA, PRIMARY INDUSTRIES na kadhalika na sio wafanyabiashara wa mabeseni ya plastiki., BENKI ikija hapa ije kuuza product zenye kuwahusu wakulima. MIkopo ya pembejeo, bima za mazao na kadhalika.

Hao unaodhani wamekosekana hawana impact kubwa ya kuboost maudhui kama ambavyo tungekuwa na impact kama tungekuwa na taasisi imara kwenye sekta ya kilimo. Kila mwaka wapo na kilimo kimedoda na ndio maana leo hali ipo kama unavyoiona. Huu ni uwanja wa
1. MTAFITI WA MBEGU
2. MNUNUZI WA MAZAO GHAFI
3. MTENGENEZAJI WA PEMBEJEO NA ZANA
4. MUONGEZA THAMANI YA BIDHAA GHAFI
5. TAASISI ZA USHAURI NA FEDHA n.k

Hao kina hamasa sijui na mwenzao nani wapeleke hamasa zao kwenye sherehe za Muungano
Nimekuelewa.
 
Waziri mkuu nae kasema kuwa tuchangamkie fursa nasubiri mimi niliopo porini Nita changamkia vipi hiyo fursa
 
Hapakuwa na namna ya kufanya,kalenda ya SADC hatupangi sisi TZ na maonyesho ya 8 8 yako fixed. I hope tutaweza tu kwani ya SADC yanawahusu sana wafanyabiashara haya mengine mi yetu wakulima tuwaonyeshe wafanyabiashara bidhaa zetu halafu wao wazipeleke SADC
 
Kama vituko hivyo havitoshi, 7'7 sasa inaelekea kuwa maonesho ya kisiasa. Mwaka 2016 with my naked eyes nilishuhudia BANDA LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI, hapa majicho kodo nisijue NEC ni wafanyabiashara na bidhaa zao ni zipi.
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Linaweza. Enhe!
Sasa ndio mambo gani unauliza hayo ningekuwa na uwezo ningetumbeza ulione shamba nililo nalo lakini limebaki la kulimia vyakula vya kusogezea siku na sio kwa biashara kama biashara ambayo inaweza kuuza zaidi ya mpaka moja kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu
 
Hapakuwa na namna ya kufanya,kalenda ya SADC hatupangi sisi TZ na maonyesho ya 8 8 yako fixed. I hope tutaweza tu kwani ya SADC yanawahusu sana wafanyabiashara haya mengine mi yetu wakulima tuwaonyeshe wafanyabiashara bidhaa zetu halafu wao wazipeleke SADC
Wishing all the best.
 
Back
Top Bottom