Nanenane Morogoro kunani

Nanenane Morogoro kunani

chox1285

Member
Joined
Jan 9, 2016
Posts
20
Reaction score
6
Wanajukwaa nawasalimu. Napenda kufahamu kwa waliokwenda nanenane morogoro kukoje??? Maana nami nataka nijongee huko jumapili nishinde pamoja na jumatatu
 
Wanajukwaa nawasalimu. Napenda kufahamu kwa waliokwenda nanenane morogoro kukoje??? Maana nami nataka nijongee huko jumapili nishinde pamoja na jumatatu

Hivi haya maonesho ya nanenane ..kuna kituo chochote hapa maeneo ya Dar au Pwani?
 
Hivi haya maonesho ya nanenane ..kuna kituo chochote hapa maeneo ya Dar au Pwani?

Subili serikali ikihamia Dodoma tutahamisha yale ya Dodoma tutaleta Dar es Salaam

Kwa sasa sabasaba inawatosha
 
Hardman, dar hakuna ndio maana Yale ya morogoro alikwenda PM, RC's wa dar, pwani na tanga
 
8-8- ni ya wakulima sasa RC anapeleka Maonyeshi ya field force,naipenda TZ
 
Nane nane Morogoro ipo vizuri mimi nilipata bahati yakwenda kwakweli nimejifunza mengi sana na nimekutana na wakulima na wafugaji mbalimbali pia makampuni ya mbegu na madawa.

Pia nilikutana na watu wa kampuni ya A to Z nimekuta wanaproduct yao AgroZ Net ambayo ni chandarua maalum kama green house ina ukubwa wa 30 X 5.5mt inauzwa kwa 250,000/= . kwasisi ambao tulikuwa hatuna uwezo wa green house hii ni mkombozi wetu.

Jambo la pili ni haya maonyesho yamegawanyika katika kanda kwa kanda ya mashariki kuna mikoa ya Pwani, D.S.M na Morogoro yanafanyika Moerogoro, kanda ya Kusini yamefanyika kwa pamoja Lindi na Mtwara. Kanda ya Kati yanafanyika Dodoma nk.

Ukipata nafasi nenda ndugu.
 
M
Nane nane Morogoro ipo vizuri mimi nilipata bahati yakwenda kwakweli nimejifunza mengi sana na nimekutana na wakulima na wafugaji mbalimbali pia makampuni ya mbegu na madawa.

Pia nilikutana na watu wa kampuni ya A to Z nimekuta wanaproduct yao AgroZ Net ambayo ni chandarua maalum kama green house ina ukubwa wa 30 X 5.5mt inauzwa kwa 250,000/= . kwasisi ambao tulikuwa hatuna uwezo wa green house hii ni mkombozi wetu.

Jambo la pili ni haya maonyesho yamegawanyika katika kanda kwa kanda ya mashariki kuna mikoa ya Pwani, D.S.M na Morogoro yanafanyika Moerogoro, kanda ya Kusini yamefanyika kwa pamoja Lindi na Mtwara. Kanda ya Kati yanafanyika Dodoma nk.

Ukipata nafasi nenda ndugu.
Mkuu Leo najiandaa nipande basi pale ubungo ni fike huko kuongeza maarifa
 
Wanajukwaa nawasalimu. Napenda kufahamu kwa waliokwenda nanenane morogoro kukoje??? Maana nami nataka nijongee huko jumapili nishinde pamoja na jumatatu
Du karibu sana huku mambo mazuri uwanja umefurika kwa kweli pako vizuri japo mwanzo kulukuwa kumepoa ila siku hz mbili pamechangamka sana
 
Nane nane Morogoro ipo vizuri mimi nilipata bahati yakwenda kwakweli nimejifunza mengi sana na nimekutana na wakulima na wafugaji mbalimbali pia makampuni ya mbegu na madawa.

Pia nilikutana na watu wa kampuni ya A to Z nimekuta wanaproduct yao AgroZ Net ambayo ni chandarua maalum kama green house ina ukubwa wa 30 X 5.5mt inauzwa kwa 250,000/= . kwasisi ambao tulikuwa hatuna uwezo wa green house hii ni mkombozi wetu.

Jambo la pili ni haya maonyesho yamegawanyika katika kanda kwa kanda ya mashariki kuna mikoa ya Pwani, D.S.M na Morogoro yanafanyika Moerogoro, kanda ya Kusini yamefanyika kwa pamoja Lindi na Mtwara. Kanda ya Kati yanafanyika Dodoma nk.

Ukipata nafasi nenda ndugu.
mkuu hawa ATO Z wanapatikana wapi nimependa idea ya hicho chandarua
 
Wapo Arusha ila wanaofisi zao hata kwa hapa Dar wanapatikana. Nita kuinbox kukupa namba ya muhusika @ Mdukuzi
 
HELLO!
NAOMBA KUJUA SOKO LA MIHOGO LINAPATIKANAJE HASA KWA WALE WALIOLIMA MAENEO YA BAGAMOYO.
 
Back
Top Bottom