Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,863
- 3,058
Kwa hivyo demokrasia ya kupeana mikono ndiyo ushahidi kuwa hii yetu ni bora kuliko ya Marekani?Huyo Mama ni wa Mwendokasi, ameonyesha kukerwa na dharau aliyooneshwa na trumpet. Trumpet ndivyo alivyo ni mtu ambaye haishiwi vituko. Kwa Demokrasia ya hivyo kwetu hatuitaki kabisa. Demokrasia gani ambayo inatengeneza chuki, dharau na kukosa say ya pamoja.
Ninachoamini ni kwamba Demokrasia nyingi hubomoa Taifa, Kama huamini wewe nenda kamdekeze mtoto wako kupita kiasi.
Na Demokrasia ya Marekani imetengenezwa kulingana na matakwa ya mila na Destuli zao ambazo nitofauti kabisa na za sisi Waafrika.
Tunawatakia kila la heri na Demokrasia zao cc na China tunapiga kazi.
Eti huyu mtanzania anasema Bunge la marekani limeishiwa agenda,mnajifanya wendawazimu?Unadhani bunge la marekani linaweza kupoteza muda kuweka azimi la kumpongeza Trump?Ni hapa bongo kwenye bunge la utalii,teh teh!Bunge la Marekani limeishiwa ajenda, wamekalia kumchokonoa Rais.. Bunge la Tz lina kazi nyingi.. Midahalo au mijadala ni sehemu ndogo tu ya kazi za bunge.. Behind the scene bunge linafanya kazi kubwa hasa kupitia kwenye kamati.
Kuna picha ya mrembo nimeiona imefanya nifungue huu uzi lakini baada ya kuufungua siioni
Miaka 700 kwa mbeleTanzania kufikia demokrasia ya marekani ni miaka 700 ijayo.
Sent using Cash Money Wings
Pumbafu usio na aibu wwBunge la Marekani limeishiwa ajenda, wamekalia kumchokonoa Rais.. Bunge la Tz lina kazi nyingi.. Midahalo au mijadala ni sehemu ndogo tu ya kazi za bunge.. Behind the scene bunge linafanya kazi kubwa hasa kupitia kwenye kamati.
Kuhamasisha kuuwawa kwa wenzao ni moja ya mijadala hiyo?Bunge la Marekani limeishiwa ajenda, wamekalia kumchokonoa Rais.. Bunge la Tz lina kazi nyingi.. Midahalo au mijadala ni sehemu ndogo tu ya kazi za bunge.. Behind the scene bunge linafanya kazi kubwa hasa kupitia kwenye kamati.
Umekosea mkuu mimi nadhani ni miaka laki 7 ijayo.Tanzania kufikia demokrasia ya marekani ni miaka 700 ijayo.
Sent using Cash Money Wings
Kuhakikisha muhimili wa bunge unasimamia mihimili mingine kikamilifu.
Bunge la utalii kweli kweli, kama Wabunge kama wewe mnaenda kule badala ya kujadili ajenda za kitaifa Mnafanya kama kituo cha kutafutia Madili Mfano Zitt Kabw na TAL utakuta wanaibua hoja za kusadikika ili baadae wayamalize. Kama huamini wewe fuatilia hoja moja iliyoisha iliyoibuliwa na hao viumbe.Eti huyu mtanzania anasema Bunge la marekani limeishiwa agenda,mnajifanya wendawazimu?Unadhani bunge la marekani linaweza kupoteza muda kuweka azimi la kumpongeza Trump?Ni hapa bongo kwenye bunge la utalii,teh teh!
Unakumbuka Zitto alisimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge baada ya kuibua sakata la mirahaba kwenye madini?TAL alikuwa msaada sana kwa Anna Makinda,ilifika mahali Makinda anamuomba Lissu ugafanuzi juu ya masuala mbalimbali ya kisheria!Bunge la utalii kweli kweli, kama Wabunge kama wewe mnaenda kule badala ya kujadili ajenda za kitaifa Mnafanya kama kituo cha kutafutia Madili Mfano Zitt Kabw na TAL utakuta wanaibua hoja za kusadikika ili baadae wayamalize. Kama huamini wewe fuatilia hoja moja iliyoisha iliyoibuliwa na hao viumbe.
Barbarosa hao watu sio rahisi kuelewa utofauti huo.Samahani man lkn hauna akili sawa sawa, Pelosi ni Kiongozi wa Upinzani ambaye anaongoza ( Bunge) la Upinzani USA, Ndugai ni Spika wa CCM chama kinachoongoza Serikali hauoni tofauti hapo? Kama Pelosi angekuwa Chama kimoja na D.Trump hapo ungekuwa na maana lkn ni wapinzani, hata TZ kama Upinzani wangekuwa na Wabunge wengi na kutoa Spika pia Spika wao angeweza kufanya mengi zaidi, hivyo usimlaumu Ndugai hawezi kukisaliti Chama chake ataondoka mara moja.
tatizo bunge la tz wengi vil.za!!.Bunge la Marekani limeishiwa ajenda, wamekalia kumchokonoa Rais.. Bunge la Tz lina kazi nyingi.. Midahalo au mijadala ni sehemu ndogo tu ya kazi za bunge.. Behind the scene bunge linafanya kazi kubwa hasa kupitia kwenye kamati.