Wakuu, naomba kuuliza kwa anayemfahamu mtangazaji wa East Africa radio Scola Kisanga. Sihitaji details zake lakini aweke picha yake tu kwani namzimia huyu Dada alafu nilimfollow IG akaniignore kabisa lakini nampenda sijui kwanini, kama Scola upo huku ujumbe utakuwa umeupata.
Huyu binti anajua sana kutangaza na sauti yake ina nivutia sana hunifanya nisikilize EA DRIVE(NDINGA) halafu kipindi chao ni moja ya vipindi bora vya jioni kuna ubunifu wa pekee,,
Mwanzo nilikuwa namfananisha sauti yake na Irene Tilya malyakishu
Huyu binti anajua sana kutangaza na sauti yake ina nivutia sana hunifanya nisikilize EA DRIVE(NDINGA) halafu kipindi chao ni moja ya vipindi bora vya jioni kuna ubunifu wa pekee,,
Mwanzo nilikuwa namfananisha sauti yake na Irene Tilya malyakishu
Huyu binti anajua sana kutangaza na sauti yake ina nivutia sana hunifanya nisikilize EA DRIVE(NDINGA) halafu kipindi chao ni moja ya vipindi bora vya jioni kuna ubunifu wa pekee,,
Mwanzo nilikuwa namfananisha sauti yake na Irene Tilya malyakishu