Namwonea Huruma Maradona!!

Namwonea Huruma Maradona!!

ZionTZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
1,282
Reaction score
541
5b6131e6f296bea4508ad99112f054e8-getty-98697118jd122_argentina_v_g.jpg
5b6131e6f296bea4508ad99112f054e8-getty-98697118jd122_argentina_v_g.jpg 09e4e19dd9ae3dd091846113f72f6c7a-getty-fbl-wc2010-match59-arg-ger.jpg 18057a9e524d4c0881e1c26282a20a9e-getty-98697118jd119_argentina_v_g.jpg a7c07b8c3085d5c4a633c5e10049c167-getty-fbl-wc2010-match59-arg-ger.jpg ept_sports_sow_experts-253871829-1278187825.jpg
 
Yes it is good, hajaficha hisia ya huzuni.
 
Ila jamaa kapata frastration sana, huenda akarudia kutumia drugs ili kupunguza msongo, maana huyu jamaa haeleweki!
 
Wacha karudi kwao...Kalikua kana vuvuzela sana Ergentina ikipata bao....kamedungwa nne,,,,,,,,,,,,,,TAAAAABAAAAANIIIIIIIIIIII
 
Wamenusuru asivue nguo kama alivyoahidi, Mungu hapendi mtu mzima atembee uchi hadharani jamani.😛ound:
 
tatizo la Maradona ni mbwembwe zilikuwa nyingi sana.
 
Ilikuwa zahma....
Hakutarajia kabisa..
 
Maradona kapata laana ya Pele kwa kumtukana!! Wakumuonea huruma ni Dunga wa Brazil kwani pale walipofungwa tu, akajua kitumbua kimeingia mchanga. Atajutia makosa ya kuwatema Gaucho na Adriano!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom