Namwona X wangu anavyoteseka juu yangu

Namwona X wangu anavyoteseka juu yangu

Duduke

Senior Member
Joined
Jul 12, 2020
Posts
112
Reaction score
104
Huyu X wangu simwelewi, mara atume text nimemic uchi wako, mara nimekumiss. Nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza, nikipost mwanaume anauliza huyo ndio Shem? Yaani kila ninachopost lazima a-view na a-coment

Natamani kama nibadilishe no maana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata, nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa. Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?
 
Best sisi wengine tukiachana ni uadui mwa mwi ,sijui mwenzetu huyu anafeli wapi😂😂😂
Besty huyu anaonekana kama bado anataka ndio maana.

Ninakubaliana nawe kwamba tukiachana basi ni uadui wa mwi.......

Na ndio maana sasa.......
 
huyu x wangu simwelew Mara atume text nimemic uchi wako;Mara nimekumic;nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza; nikipost mwanaume anauliza uyo ndio Shem, yaani kila ninachopost lazim aview accoment nataman kama nibadilishe no mana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata; nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa sasa saizi ananitafutia tafutia nini
Hakuna cha kutamani kufuta namba yake wala nini..wote wawili bado mnatakana kunyanduana.
 
Huyu X wangu simwelewi, mara atume text nimemic uchi wako, mara nimekumiss. Nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza, nikipost mwanaume anauliza huyo ndio Shem? Yaani kila ninachopost lazima a-view na a-coment

Natamani kama nibadilishe no maana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata, nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa. Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?
Kwahiyo umeamua kutulalamikia?
 
Usinipige block mpnz wangu, me bado nakupenda pia, nakumbuka ulivyokuwa unanipa nyekukundu ya bibi kisigino kikigusa bega lako...nakupenda sana Laaziz wangu nyonga mkalia ini!

Umenikumbusha mbali huu msemo wa
Nyongo mkalia ini,laazizi nyama ya kuchoma😅😅popote ulipo nimekukumbuka 🤣🤣
 
Back
Top Bottom