KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,516
- 89,013
DADEKI..Wewe unamdekeza. Acha kumwendekeza mlime block.
kina Delila ndo hawa..😅
DADEKI..Wewe unamdekeza. Acha kumwendekeza mlime block.
Hahahaaaa. Sijui walitoaga wapi hizi maneno. LolUmenikumbusha mbali huu msemo wa
Nyongo mkalia ini,laazizi nyama ya kuchoma😅😅popote ulipo nimekukumbuka 🤣🤣
Vijana wa siku hizi unafikiri wanajua thamani ya mapenzi rafiki , wamekuwa kama wehu tu wa majalalani 😀😀😀😀... wapo wapo tu hata visa vyao ni kama futuhi tuRafiki na mie nimetaka kusema hivyo. Ingekuwa hampendi angeshafanya kile ambacho kingewatenganisha na hakuna ambaye angeona kile mwenzie anafanya.
#Warudianetu.
Ayaaaaaaaa 😊😊😊😊😊Hahahaaaa. Sijui walitoaga wapi hizi maneno?
Wenyewe tukiambiwa tunavimba vichwa mbaya. 🤣
Ndio maana watu siku hizi wana uana kwa mambo kama haya ya kutambiana, mwana anaoba bora wakose wote 😀😀😀Kuna kawimbo muekee status kanaitwa x nenda salama, kamstari ka mwenzako nampa nyama choma anakula hadi mishikaki, akisikia hicho kiwimbo atakatika maini!
Maigizo mengi rafiki. lol.Vijana wa siku hizi unafikiri wanajua thamani ya mapenzi rafiki , wamekuwa kama wehu tu wa majalalani 😀😀😀😀... wapo wapo tu hata visa vyao ni kama futuhi tu
Ndio rafiki. 🙈Ayaaaaaaaa 😊😊😊😊😊
Viporo huwa vitamu hasa vya kulala 😀😀😀Mtu mshaachana bado mnaendelea kuwasiliana ili iweje, unavyoandika inaonekana bado unampenda na kwa kiasi fulan pia umefurahia alivyosema amekumiss.
Kumbuka kiporo hakihitaji moto mwingi
Yani hata sijuagi aise..Hahahaaaa. Sijui walitoaga wapi hizi maneno. Lol
Yaani sana mkuu, hapo bidada anafurahia kweli anaona jamaa anaumia kumbe ataka apashe kiporo tuViporo huwa vitamu hasa vya kulala [emoji3][emoji3][emoji3]
Za siku ni pouwa kabisa. Sijui kwako mdogo?Yani hata sijuagi aise..
Za siku my honey
[emoji3]Nahisi hata wewe umemis uchi wake.
Na huwa ni mechi moja matata sana, ya watu wa hivyo... hawa kila mtu ana hamu sana mwenzake wakaonesheana ma skills mapaya hawana loloteYaani sana mkuu, hapo bidada anafurahia kweli anaona jamaa anaumia kumbe ataka apashe kiporo tu
Ndo maana mimi habari za ma X, sitaki kusikia kabisa kwa mwenzangu.Na huwa ni mechi moja matata sana, ya watu wa hivyo... hawa kila mtu ana hamu sana mwenzake wakaonesheana ma skills mapaya hawana lolote
Kweli hawara hana talaka ukimtaka una mpata.Huyu X wangu simwelewi, mara atume text nimemic uchi wako, mara nimekumiss. Nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza, nikipost mwanaume anauliza huyo ndio Shem? Yaani kila ninachopost lazima a-view na a-coment
Natamani kama nibadilishe no maana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata, nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa. Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?
😀😀😀.. kweli mkuu, na condition ya kwanza lazima apige chini mawasiliano ya ma x wote, tofauti na hapo.. kuna mazingira atashikwa na hatoweza goma kuachia mzigo.. ni ma x wachache sana huwa wana heshimiana, ila wengine tena kama ulikuta waliachana kwa amani, hapo kuliwa nu dk 0 tuNdo maana mimi habari za ma X, sitaki kusikia kabisa kwa mwenzangu.
Hawa wanawake ni dhaifu sana aisee