Namwona X wangu anavyoteseka juu yangu

Namwona X wangu anavyoteseka juu yangu

[emoji3][emoji3][emoji3].. kweli mkuu, na condition ya kwanza lazima apige chini mawasiliano ya ma x wote, tofauti na hapo.. kuna mazingira atashikwa na hatoweza goma kuachia mzigo.. ni ma x wachache sana huwa wana heshimiana, ila wengine tena kama ulikuta waliachana kwa amani, hapo kuliwa nu dk 0 tu
Mfano mzuri ni mleta mada, asipokaa sawa atajikuta keshaliwa kimasihara
 
Huyu X wangu simwelewi, mara atume text nimemic uchi wako, mara nimekumiss. Nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza, nikipost mwanaume anauliza huyo ndio Shem? Yaani kila ninachopost lazima a-view na a-coment

Natamani kama nibadilishe no maana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata, nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa. Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?
Huyo mpwa anataka kupasha kiporo hana lolote kwako. Akisha kunyandua tu basi anakutupilia mbali
 
Mfano mzuri ni mleta mada, asipokaa sawa atajikuta keshaliwa kimasihara
😂😂😂 mleta mda hana nguvu ya ku resist .. kwa namna alivyo anzisha. Wanawake niwajuavyo, akiamua ku muvu on, hata ufanyaje ameenda huyo, ila ukiona bado anachungulia chungulia alipotoka, huyo bado haja move bado.. anajizungusha na kuonesha jamaa bado ana hitajika..
 
Yaani nikimwacha mwanamke siwezi kuwa na time ya kumfatilia....''Sirudii matapishi''
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mleta mda hana nguvu ya ku resist .. kwa namna alivyo anzisha. Wanawake niwajuavyo, akiamua ku muvu on, hata ufanyaje ameenda huyo, ila ukiona bado anachungulia chungulia alipotoka, huyo bado haja move bado.. anajizungusha na kuonesha jamaa bado ana hitajika..
Halafu kakimbia simuoni akijibu comments
 
Wasikudanganye hata kidogo, wajua tuliyopitia Mi Amoure wangu, "did mess up a lot " PLEASE have mercy on Me, tumalize tulipo ishia, sipo Mbinguni nakiri kuwa mkosefu ila NAKUAHIDI kubadilika Asali wangu, NSAMEHE najutia yote, sawa Mama watoto, njoo tuyajenge Tafadhali!
 
Mapenzi bhaana! Hapo najua unakumbuka mliyokuwa mnafanyiana, mnamisiana ila wa kiumeni ndiye unayemuona anasumbuka!
Ila naamini hata wewe uko kwenye mstari huo huo unaomsumbua mwenzio.
 
[emoji23] [emoji23] Nani kakwambia anatesekaa. Ni ile kasumba yetu tu ya kutolidhika.. Anataka kupasha kiporo tu
 
Huyu X wangu simwelewi, mara atume text nimemic uchi wako, mara nimekumiss. Nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza, nikipost mwanaume anauliza huyo ndio Shem? Yaani kila ninachopost lazima a-view na a-coment

Natamani kama nibadilishe no maana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata, nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa. Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?
Mwache tu,tena sasa post sana picha zako na huyo bby mpya ili umuumize roho sana
 
Huyu X wangu simwelewi, mara atume text nimemic uchi wako, mara nimekumiss. Nikipost picha zangu haishi kunisifia nimependeza, nikipost mwanaume anauliza huyo ndio Shem? Yaani kila ninachopost lazima a-view na a-coment

Natamani kama nibadilishe no maana alinifanyia vituko sana tulipoachana baada ya kuwa na mahusiano yake mapya nilikuwa nikimpigia anakata, nikituma message hajibu na alinipiga biti nisimtafute kabisa. Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?
[/QUOTE
Bado inaonesha ata ww bdo unampenda japo muliachana na yote yaliotokea. Kwny Maisha hutakiwi kurudi nyuma yaliyopita ni historia. Kma utaendelea kuyabeba hutafanikiwa Kwa lolote maana history itakuwa inakuumiza. Ishi maisha mapya songa mbele fanya maamuzi sahihi Kwa kila jambo
 
Sasa saizi ananitafutiatafutia nini?

Anataka mpashe kiporo, na ukimpa nafasi lazima ale mzigo. vile alichokimiss ni uchi wako na sio wewe. so hata ukienda umejiziba uso kwake ni fresh tu, as long as alichomis atakipata.

Kaa kitaalamu, Men at Work

Thank me later
 
Futa uzi wako mkuu! Mbona unaleta habari za aibu hahahahaha umekwama wapi?

Ebu nipe namba zake nimkanye!
 
Back
Top Bottom