cherylsweet
Member
- May 28, 2014
- 15
- 6
Wandugu wazimaa?
Nina jambo lanitatiza.
Tumesoma wote kidato cha kwanza na cha pili. Alikuwa akinipenda lakini hakuweza kuniambia nilikuwa nikiambiwa na rafiki zake.
Nilihama ile shule kwahiyo hatujawahi kuonana since then, ni miaka 21 imepita sasa.
Tumekutana miezi miwili iliyopita na tumetokea kuwa marafiki wazuri tu, i think am falling in love with him but siwezi kumwambia.
Nitaanzaje ananionyesha signs zote kama ananipenda he treats me like his woman mpaka sometimes naona too much.
Ila hayawahi kutamka kitu chochote na hatujawahi hata kushikana mkono zaidi ya hug tu niliyopata juzi kati hapa.
Nikimwonyesha nampenda naogopa atanichukulia poa.
so nagugumia tuu ndanindani.
sijui nifanyejeee .
Nina jambo lanitatiza.
Tumesoma wote kidato cha kwanza na cha pili. Alikuwa akinipenda lakini hakuweza kuniambia nilikuwa nikiambiwa na rafiki zake.
Nilihama ile shule kwahiyo hatujawahi kuonana since then, ni miaka 21 imepita sasa.
Tumekutana miezi miwili iliyopita na tumetokea kuwa marafiki wazuri tu, i think am falling in love with him but siwezi kumwambia.
Nitaanzaje ananionyesha signs zote kama ananipenda he treats me like his woman mpaka sometimes naona too much.
Ila hayawahi kutamka kitu chochote na hatujawahi hata kushikana mkono zaidi ya hug tu niliyopata juzi kati hapa.
Nikimwonyesha nampenda naogopa atanichukulia poa.
so nagugumia tuu ndanindani.
sijui nifanyejeee .