Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,345
- 108,442
Hahahaha niaje Mpwa? Nilimiss hizi flow zako aisee,
Mpwa nipo nipo tu mishemishe za mkoloni tu ndio zinabana...
Sijui pande yako?
Hahahaha niaje Mpwa? Nilimiss hizi flow zako aisee,
njia ya mwongo..................
Hebu nielezeni labda mie mshamba
Started by cherylsweet, 5th June 2014 15:20
umepata kaexperience kazuri kwa miaka mitatu ili utudanganye eeh??
RE: Hii
Started by cherylsweet, 30th May 2014 12:54
ddah.....wewe umezaliwa miaka ya sabini for sure...
kuna a lot of ways these days...
unaweza anza na 'morning dear' morning honey...hadi good night my love na sweet dreams babe...
sijui hata kutuma sms kama unajua
Kama.anataka dudu apige kisela
Mwenzio ana ugumu siku nying
Msaidie basi mwenzio
Hahahaaaaa, na wewe The Boss umeanza kutupia kete hapo kiutu uzima!kumekuchekesha nini hapo honey? hahaaa
dah.....wewe umezaliwa miaka ya sabini for sure...
kuna a lot of ways these days...
unaweza anza na 'morning dear' morning honey...hadi good night my love na sweet dreams babe...
sijui hata kutuma sms kama unajua
d
How abt... good afternoon sweetpie. Umenichekesha
njia ya mwongo..................
Hebu nielezeni labda mie mshamba
Started by cherylsweet, 5th June 2014 15:20
umepata kaexperience kazuri kwa miaka mitatu ili utudanganye eeh??
RE: Hii
Started by cherylsweet, 30th May 2014 12:54
Miaka 21 iliyopita ni mwaka 1993, tayari ulikuwa kidato cha pili.
miss chagga ulikuwa wapi mwaka 1993?
Miaka 21 iliyopita ni mwaka 1993, tayari ulikuwa kidato cha pili.
miss chagga ulikuwa wapi mwaka 1993?