Namuonea huruma huyu binti

Umuache ili umpotezee muda rasmi sasa sio!??
 
Nchi hii ina uhaba wa vijana! Umeshamwuliza yeye akakujibuje? Kama kuishi na wewe anaona fresh tu hama mjini urudi kijijini ukapige jembe mkuu huyo ndiye mke mwema!
 
Hela tunatafuta mkuu. Changamoto kaumbiwa binadamu zinakuja kitofauti tu hata wenye hela wana changamoto zao. Kama ramani zinasomeka upande huo tupeane connection.
Kama una mpango wa kuoa kwa mwanamume hakuna short cut lazima uwe na chanzo cha mapato (kujiajiri/kuajiriwa) kuitunza familia yako
 
Nakuelewa sana lakini unaishi maisha halisi kwa maana kwamba anajua haki yako na huja fake maisha, pima moyo wako Nje ya vyote ndo chaguo lako?

Hapa wengi tutakukejeli lkn balaa la ajira Acha tu.

Niliwahi tamani kumwacha aende lkn yeye alisema tupambane Namshukuru Mungu maisha yameleta mwanga kidogo na ni mwaka wa nane sasa katika ndoa.

Sikiliza moyo mengine mtapambana tu Mkuu.
 
Kama una mpango wa kuoa kwa mwanamume hakuna short cut lazima uwe na chanzo cha mapato (kujiajiri/kuajiriwa) kuitunza familia yako
Shida kwa jamii yetu ukiangalia muda unaotumia kusoma unajikuta umeingia mtaani tayari una mentality ya kuwa kwenye mahusiano na kimaisha ndio unaanza moja. Hapo kama hauna connection basi uwe competency sana kwenye field yako yaani uwe kipaji maalumu
 
Najua lazima nitajuta na nishajiandaa kisaikolojia lakini iyo ni kwa upande wangu vipi kuhusu yeye mkuu, huoni kama nampotezea muda
Unampotezea muda kutoka muda gani mpaka muda upi,,,,hayo kupoteza muda alitakiwa alalamike huyo mwanamke Asa wewe tena mtoto wa kiume umeanza kulalama jitafakari upya

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Jiajiri, weka msaidizi atakayefaa kuwasiliana na wateja, wewe utakuwa msimamizi, pia kilimo na ufugaji, havihitaji sana kusikia.
 
Mtoa mada ulisoma fani gani?
 
Pamoja na ushauri tunaotoa, kama mtu ana connection ya ajira popote, tumsaidie mtoa mada, maana humu jamvini pengine kuna waajiri humu, tumpe ajira hata kama haiendani na fani aliyosoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…