Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,225
- 4,499
Kwani yeye kasema unampotezea muda?? Kwann uanze kubashiri, kaa nae muambie hali halisi kama hauko vizuri kiuchumi, kama anaona hatoweza kuwa mvumilivu anaweza kubali wanaume wengine.Najua lazima nitajuta na nishajiandaa kisaikolojia lakini iyo ni kwa upande wangu vipi kuhusu yeye mkuu, huoni kama nampotezea muda
Jitawaze vzr njoo geto unipe kiboga ujue jinsia yangu.Nawasiwasi sana na jinsia ya mleta mada
Mtaji, uzoefu kibiashara na changamoto ya kiafya( nina shida kidogo ya kusikia vizuri) vinanikwamisha kwenye suala la kujiajiri, ingawa nishafight mara kadhaa nikafeliBadili technique sio lazima uajiliwe.
Nipe namba yakeNipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.
Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.
Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.
Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Kusikia vizuri sio tatizo na wewe. Kuna vifaa vingi vya kusaidia kusikia vizuri, unaagiza hata kwa 30,000 vipo safi kabisa unafanya biashara. Biashara inategemea na sehem unakoishi, angalia changamoto zilizopo then work on them. Usidanganywe na motivation speakersMtaji, uzoefu kibiashara na changamoto ya kiafya( nina shida kidogo ya kusikia vizuri) vinanikwamisha kwenye suala la kujiajiri, ingawa nishafight mara kadhaa nikafeli
Mkuu ilo tatizo ni jambo pana kidogo sio rahisi kama unavyofikiria. Mpaka nikaamua sasa nitulie nikubali ndo mtihani wangu hapa duniani ujue nishaenda mpaka hospital kubwa kama CCBRT. Kwa hali yangu niliambiwa nikitumia ivyo vifaa ndio naongeza ukubwa wa tatizo. Hata ivyo shida sio kusikia tu kuna changamoto ya mtaji pia ukizingatia sijatokea kwenye familia ya mboga sabaKusikia vizuri sio tatizo na wewe. Kuna vifaa vingi vya kusaidia kusikia vizuri, unaagiza hata kwa 30,000 vipo safi kabisa unafanya biashara. Biashara inategemea na sehem unakoishi, angalia changamoto zilizopo then work on them. Usidanganywe na motivation speakers
Hii ni shida binafsi ya mleta mada. Amepigwa njaa mpaka amekua na inferiority complex. Imefika hatua anaamini hastahili kua na mwanamke mzuri!ila sisi wanaume bana,
tusipopendwa tunalalamika, tukipendwa tunaanza kujiogopa
hatujui tunachokitaka
jiamini mkuu, huyo amekupenda jinsi ulivyo, ukimuacha utakuja kujuta
kakupenda pamoja na kufulia kwako, kapenda boga na ua lake....
ila sisi wanaume bana,
tusipopendwa tunalalamika, tukipendwa tunaanza kujiogopa
hatujui tunachokitaka
jiamini mkuu, huyo amekupenda jinsi ulivyo, ukimuacha utakuja kujuta
kakupenda pamoja na kufulia kwako, kapenda boga na ua lake....
Uchumi na upendo ni vitu viwili tofauti, anaekupenda atakuvumilia labda kama wewe unajua ukizipata utamuacha ndio maana unamuonea huruma vinginevyo hiyo huruma yako haina maana yeyote.Sema chochote kulingana na mada husika usitumie hisia kuja na assumptions binafsi maana sio mara zote hisia zitakuambia ukweli. Mada inajieleza. Nampenda ila nahisi nampotezea muda kwa sababu sioni dalili za kuwa sawa kiuchumi hapa karibuni ili tuweze kuishi pamoja kama anavyotarajia
Changamoto za kimaisha zinaonekana nyepesi sana kama haujakutana nazo au una uwezo wa kuzimudu kwa wakati husika. Hata ivyo shukrani sana kwa mchango wako mkuuHii ni shida binafsi ya mleta mada. Amepigwa njaa mpaka amekua na inferiority complex. Imefika hatua anaamini hastahili kua na mwanamke mzuri!
Sisi wengine tunajua tunachokitaka!
Ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana mkuu. Ili mahusiano yawe imara uchumi una nafasi yake piaUchumi na upendo ni vitu viwili tofauti, anaekupenda atakuvumilia labda kama wewe unajua ukizipata utamuacha ndio maana unamuonea huruma vinginevyo hiyo huruma yako haina maana yeyote.
Nipe mm mkuu.Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.
Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.
Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.
Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Una nafasi yake sikatai ila kama mwanamke anaelewa hali yako na anakupenda wewe unapaswa kupambana kujiinua kiuchumi hali ikimshinda na akitaka kukimbizana na muda ataamua yeye mwenyewe na hatokuonea huruma.Ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana mkuu. Ili mahusiano yawe imara uchumi una nafasi yake pia
Nyota yako ya mafanikio ipo kwakeNipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.
Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.
Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.
Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.