Namuona Mchengerwa akifika mbali sana kiuongozi kutokana na uchapa kazi wake

Ni kweli atafika mbali hasa pale atakapokuweka ndani na umzalie vichengerwa
 
Ni kweli atafika mbali hasa pale atakapokuweka ndani na umzalie vichengerwa
Wewe hiyo mibangi unayovuta itakuwehusha na kukupa uwendawazimu ,hatua uliyofikia ni mbaya sana inayohitaji uwe Mirembe mpaka muda huu ukiendelea kupata matibabu .
 
Wewe chawa bado upo? Utageuka kuwa Kiroboto!

Unajua kuwa huyo bwana ndio anampa usingizi binti yake mama Abdul?
 
Nna neno moja kwako... Mchengerwa ameoa tayari!! Ahsnt.
 
Toka ujue ni mkwe wa rais basi huko hakutulii. Akili kama Musiba.
 
Nna neno moja kwako... Mchengerwa ameoa tayari!! Ahsnt.
Wewe siku zote unaandikaga michango yako utafikiri CM anatumia mtoto wako ,maana unaandikaga kwa kuropoka na kukurupuka tu .jitahidi kuwa na busara,hekima na staha.andika kama mtu aliyepevuka akili ,.andika kama mtu mwenye akili Timamu.andika kama mtu ambaye unaweza hata ombwa ushauri na mke wako na siyo unaandika hata watoto wako wakisoma wanaona wewe ni kubwa jinga tu na uliybeba kichwa kama mzigo tu maana hakikusaidii kwa lolote
 
Taja hao wachache wenye mioyo ya uchapakazi na wengi ambao hawana mioyo ya uchapakazi tuwajue kaka
Watanzania tujifunze kuwapa nguvu ya kusonga mbele watu wanaojitoa na kujitolea katika kututumikia watanzania.

Wenye mioyo hiyo ya uchapa kazi ni wachache na wengini wanafanya kazi mpaka wasukumwe na kusimamiwa kwa kila kitu kama watoto wadogo.
a
 
Nashukuru kwa majibu yako,lakini kuna point unamiss,kwanza sio kweli kwamba hakuna MAZURI yanayofanywa na Serikali,nina amini serikali inayoongozwa na mwanadamu obvious kuna mazuri na makosa itafanya,na huo ndio UBINAMU wenyewe..sasa shida yako wewe huoni hizi changamoto,na unadhani wote wanaozisema sio WAZALENDO..ndio maana nimekushauri uwe unasema na CHANGAMOTO (hizi nilizojitaja ilikuwa mfano tu) na toa SULUHU kama Kijana MSOMI,sio KUSIFUU tu kila siku

Nianze na la UMEME,kwa hili JANGA la UMEME sio dogo kama wewe unavyoliaddress,watu wanataabika..kuna watu bila UMEME hawali na ndio wengi..
Sasa tujiulize wote, KWANINI SASA shida imekuwa KUBWA hivi?..Mbona kipindi cha Magufuli hali ilikuwa nzuri..kama shida ni ongezeka kubwa la watumiaji wa UMEME ndani ya muda mfupi,serikali kupitia Wasomi wetu wa UCHUMI na NISHATI walishindwa kuliona hili(anticipate) na kuja na mikakati ya muda mfupi ,kati na muda mrefu?..ninachoona kwa sasa kila mtu anaongelea bwawa bwawa la Stiglier,lakini hii SULUHU ya muda mrefu..kwa hali ilivyo,kwa sasa UMEME ni JANGA KUBWA,serikali ije na Hatua za muda mfupi kama kununua or kukodisha Majenereta ya kupunguza hili Janga,dunia now ni Kijiji,shirikisha wenzio,shirikisha SEKTA binafsi

Tuje kwenye MAFUTA,hapa napo naona kama UMEPUYANGA..kwa uelewe kuna shida zaidi ya bei ya SOKO..Kuna hili la ufichwaji wa makusudi wa mafuta kila wiki kabla ya tangazo la bei kutoka..hii kukosekana/kufichwa kwa mafuta kwako wewe huoni kwamba ni TATIZO?..na kwa nini stock ya zamani ifichwe na iuzwe kwa bei mpya?.. vyomba ya Udhibiti vipo wapi?

Tuje kwenye bei, hivi unadhani ni sawa Tz kuwa na bei sawa ya MAFUTA na nchi kama Zambia,Malawi (landlocked countries) nini sasa FAIDA ya sisi kuwa na BANDARI?..

Tuje kwenye Bei na mfano wako wa Kenya..ni kweli Kenya Bei ipo juu kidogo,hapa kuna issue ya Value ya hela ya nchi na purcharsing power ya wananchi..ndio maana ukiangalia na huko nchi za Magharibi,bei ni kubwa kwa kuwa purchasing power yao ni kubwa zaidi..kwa hiyo kusema tu bei yetu ni himilivu pasipo kuangalia factors zingine,nadhani sio sawa

Kuhusu Maji,hatusemi kwamba hakuna JITIHADA,ninachosema UWEKEZAJI huo wa muda mrefu,unatoa MAJIBU chanya?..tumekuwa tunaona wakandarasi wakilipwa Mabilion ya hela kwa ajili ya miradi ya Maji,lakini ukipita kwa wananchi hakuna Maji,nenda Mwanza,Musoma ..hata Dar hapo kuna wakati kulikuwa na mradi wa mabomba ya Mchina,je ule mradi ulileta tija?..wale waliosanifu mradi waliwajibika?..miradi hii kwa ujumla imepunguza shida ya maji kama ilitarajiwa? Kwanini?..waliokwamisha wamefanywa nini?..hao wakandarasi feki wamechukuliwa hatua?
Niishie hapa kwanza..
 
Ungekuwa unaishi kwa neema ya mwenyezi angekuongoza na ukaona ukweli! Unaongozwa na shetani hao mafisadi wakina Samia ndio maana huoni mwanga uko kwenye giza totolo!!
Mh Rais wetu ni safi na mwenye uzalendo wa hali ya juu sana. Acha kumchafua Rais wetu ewe uliyekosa adabu na malezi mazuri
 
Mh Rais wetu ni safi na mwenye uzalendo wa hali ya juu sana. Acha kumchafua Rais wetu ewe uliyekosa adabu na malezi mazuri
Huyo bibi angekuwa mzalendo angechukua hongo DpWorld? Mbona hajibu hoja za Bandari kama angekuwa mzalendo wa kweli! Amebakia kuwatumia polisi kukamata wale wote wanaompinga!
Mzalendo wa kweli asingeiba mali za nchi na kuzificha uarabuni.
Kama nilikwambia wewe ni kipofu huoni utaendelea kubwabwaja tu.
 
Hii ni sawa na mipasho.

"Vichengerwa" ni kazi.piaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜Ž
 
Na wewe mbona hujatuambia sehemu utakayofikia kwenye hiki kitengo chako cha uCHAWA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…