Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,133
- 20,296
Kweli Kaka Paul Makonda mimi nilikuwa miongoni mwa watu wanaokubeza. Ilifika mahali nikaawa sikukubali hata kidogo.
Pengine sikujua uzalendo wako na Nguvu yako ndani Chama chetu pendwa na Ndani Serikali yetu inayotuongoza.
Kwa kuwa sasa tumetambua nguvu yako, uzalendo wako na vile wewe mwenyewe unajitamkia kuwa ni mzalendo
Basi tunaomba utusaidie sisi Watanzania ili wizi wa mali zetu za umma uliotajwa na CAG na sasa Mabadiliko ya sheria kuhusu viongozi na wenza wao basi yafanyiwe kazi.
Tunaamini kwa ushirikiano wako utajali hili.
Ukisoma na kusikiliza Mchongo uliotolewe kwenye sheria hiyo ya maslahi kwa wafalme na malkia wao utaona kabisa Kodi zote za Nchi kutoka kwenye Madini, Utalii, na Mafuta na gesi zitatumika.kutunza wao matajiri na familia zao tu.
Nchi itazama. Huku tunaomba misaada tujenge vyoo vya shule na hospitali lakini viongozi wenzako hawatujali kabisa.
Wanatujali kwa maneno matupu.
Wewe ni mtu wa vitendo, tuokoe Baba, tusahau yaliyopita tujenge Nchi yetu.
Wabunge wenyewe ndio tulishasahau.
Tunakulilia Katibu Mkuu Mwenezi NEC CCM Kaka Paul Makonda. Usituangushe.
Pengine sikujua uzalendo wako na Nguvu yako ndani Chama chetu pendwa na Ndani Serikali yetu inayotuongoza.
Kwa kuwa sasa tumetambua nguvu yako, uzalendo wako na vile wewe mwenyewe unajitamkia kuwa ni mzalendo
Basi tunaomba utusaidie sisi Watanzania ili wizi wa mali zetu za umma uliotajwa na CAG na sasa Mabadiliko ya sheria kuhusu viongozi na wenza wao basi yafanyiwe kazi.
Tunaamini kwa ushirikiano wako utajali hili.
Ukisoma na kusikiliza Mchongo uliotolewe kwenye sheria hiyo ya maslahi kwa wafalme na malkia wao utaona kabisa Kodi zote za Nchi kutoka kwenye Madini, Utalii, na Mafuta na gesi zitatumika.kutunza wao matajiri na familia zao tu.
Nchi itazama. Huku tunaomba misaada tujenge vyoo vya shule na hospitali lakini viongozi wenzako hawatujali kabisa.
Wanatujali kwa maneno matupu.
Wewe ni mtu wa vitendo, tuokoe Baba, tusahau yaliyopita tujenge Nchi yetu.
Wabunge wenyewe ndio tulishasahau.
Tunakulilia Katibu Mkuu Mwenezi NEC CCM Kaka Paul Makonda. Usituangushe.