LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 574
Ushauri wa paka mmoja kwa paka mwenzake ?
Saa zingine hiyo ya kutopokea simu na kutojibu sms haisaidii kuna demu mmoja baada ya kumuacha kwa miaka miwili bado akawa anatuma sms na kupiga simu sipokei/sijibu lakini haachi.
Yani hawa paka bwana, halafu ona wasivyokuwa na huruma, si amsamehe tu jamani.
Kosa ni Kosa tu jamani.