impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,838
- 7,891
Vyombo gani kumaliza migogoroWatanzania tujirudi na kujithamini uzalendo wetu ukoje! Haingiii akilini kujisifia kwa kufanya kitendo cha kuiabisha nchi yako nchi za nje. Ukiwa ni mzalendo wa nchi yako pendwa huku unajitambua ni muhimu kutoidhalilisha nchi huko nje eti unajifanya kutetea demokrasia. Tanzania ni ncji huru hivyo yabidi itokeapo misuguano na mtafaruku ndani ya nchi busara na hekima mapungufu yote yamalizwe kwa kutumia vyombp vya usuluhishi vilivyopo Tanzania. Huyo Pompeo hawasaidii watz kujenga nchi yetu kwa vile kamwe hana uchungu na Tanzania. Tuachane na mabeberu hawana nia ya kutusaidia bali watazidi kutudhoofisha jitihada zetu kuelekea uchumi wa viwanda hatimaye Tanzania kuwa donor country. Watz tujitambue ipasavyo, wakati ni huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikutano ya vyama marufuku
Mikutano ya ndani ya vyama marufuku
Press conference za upinzani marufuku
Nchi ilikofika hakuna namna ilikuwa lazima tusaidiwe.
