baba yangu ni mjane!
ninamtafutia mke...umri wowote ila miaka 60 na kuendelea atafaa zaidi maana yeye yupo above 70!
naitaji mama wa kumtunza na kumuondolea upweke naona anateseka sana maana watoto wote hatupo nyumbani yupo na kijana wa kazi tu!
hela kila kitu mamamdogo atakachotaka tutampa! ila amtuze tu mzee vizuri!
kama unataka au una mtu just ni pm!