Namtafuta rafiki yangu

Jul 7, 2020
12
8
Anaitwa John Simbachawene.

Mara ya mwisho kuwasiliana nae alikuwa anafanya kazi Kigoma nafikiri ilikuwa Ikulu ndogo ya kule
Anakaa masaki na alikuwa na ana pub pia masaki.

Nimeenda kumtafuta masaki hayupo na ile sehemu ya pub naona haipo nimeulizia sana lakini pia naona nitakuwa nimechanganya mitaa.

Naomba kwa anayefahamu alipo sana tuwasiliane.

Nimepotezana naye miaka 7. Kwenye mitandao ya kijamii nimeshindwa kumpata. John kama utasoma hapa ni mimi rafiki yako kipindi huko Kigoma mimi nilikuwa Bukoba.
 
~ niliacha kazi nifanye maisha nikashindwa nikaona siyo kesi sasa hivi nafanya mambo mengine,sina pubu tena,sikai masaki Niko mbagala kwa dumba nimepanga chumba kimoja na nusu tulala mzungu wa NNE pamoja na watoto,hawasomi tena shule za medium,nimabaki na funguo moja ya akiba ya gari kama kumbukumbu nilikuaga na gari,napanda dalala au natembea kwa mguu hapa nawaza kodi imeisha kichwa kinawaka kama sigara kipisi,najua nilikukula Mara nyingi lakini kwa sasa ukiniona hutatamani kunisogelea....kama ulikuwa hupendi pesa zangu piga hii namba tuwasiliane +255 4762390 wako wa zamani john magu simbachawene.
 
Anaitwa John Simbachawene.

Mara ya mwisho kuwasiliana nae alikuwa anafanya kazi Kigoma nafikiri ilikuwa Ikulu ndogo ya kule
Anakaa masaki na alikuwa na ana pub pia masaki.

Nimeenda kumtafuta masaki hayupo na ile sehemu ya pub naona haipo nimeulizia sana lakini pia naona nitakuwa nimechanganya mitaa.

Naomba kwa anayefahamu alipo sana tuwasiliane.

Nimepotezana naye miaka 7. Kwenye mitandao ya kijamii nimeshindwa kumpata. John kama utasoma hapa ni mimi rafiki yako kipindi huko Kigoma mimi nilikuwa Bukoba.
Nadhani yuko Dodoma kama RSO aua nenda pale Masaki kuna PUB inaitwa DIDIZ watakupa contacts zake. Au mpgie huyu 0715 782890
 
Back
Top Bottom