Namtafuta mwandishi William Shao

Namtafuta mwandishi William Shao

Ngala

Senior Member
Joined
Sep 30, 2009
Posts
160
Reaction score
25
Wanajamvi leo nimemkumbuka ndugu yangu william shao. Mara ya mwisho nilikuwanamsoma sana kwenye gazeti la rai enzi zile za nguvu ya hoja na makala zake moto na zenye ukinzani wa kutosha.namwomba popote alipo aingie kwenye jamvi hili aweze kutumegea anayoyaamini ili sote tuyajadili. Ni kwaniaba ya wanajamvi na kwa ruhusa ya Mkuu naomba michango yako kwenye uwanja huu mpana na uliohuru.
 
Nasikia hivi sasa William Shao yuko Business Times. Nadhani siku hizi haandiki tena kwa sababu ameingilia mambo ya Information Technology. Lakini mara ya mwisho nasikia alikuwa akiandaa vitabu baada ya kuchapa kimoja kinachoitwa Miaka 2000 ya Ukristo ni Historia Iliyopotoshwa.
 
seo4.jpg
seo3.jpg

song.jpg
signature.jpg

baby2.jpg

seo4.jpg
seo3.jpg

song.jpg
signature.jpg

baby2.jpg
 
huyu mshkaj kaishiwa nimefuatilia issue alizokua akiandika alikau aki plagiarize other peoples work ndio mana kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia ameona atabambwa, sio muandishi wa kivile!
 
Wanajamvi leo nimemkumbuka ndugu yangu william shao. Mara ya mwisho nilikuwanamsoma sana kwenye gazeti la rai enzi zile za nguvu ya hoja na makala zake moto na zenye ukinzani wa kutosha.namwomba popote alipo aingie kwenye jamvi hili aweze kutumegea anayoyaamini ili sote tuyajadili. Ni kwaniaba ya wanajamvi na kwa ruhusa ya Mkuu naomba michango yako kwenye uwanja huu mpana na uliohuru.

mfate kwny gazet hilo....?c o humu?
 
huyu mshkaj kaishiwa nimefuatilia issue alizokua akiandika alikau aki plagiarize other peoples work ndio mana kwa maendeleo ya sayansi na teknolojia ameona atabambwa, sio muandishi wa kivile!
Toa ushahidi. Ninavyo vitabu vyake viwili na nimevisoma sana. Sijaona hiyo plagiarism unayodai. Toa ushahidi ili tukuamini. Usijisemee tu.
 
toen wehu wenu humu ana nini cha kumsaidia mtanzania?
Ana mengi. Nimesoma kazi zake nyingi. Labda mseme hamna cha kusema. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Shao sijawahi kukutana naye hata siku moja, lakini navutiwa sana na uandishi wake. Kwanini tuandikie mate wakati wino upo? Si msome vitabu vyake? Kama mwamtaka kujua kweli si mwende librari msome kazi zake? Naungana na aliyesema shao namkubali. namimi namkubali tena sana.
 
Mtoa uzi...ulishafanikiwa kumpata william shao?! Nahitaji vitabu vyake
 
Jamaa namkubali sana miaka ya 2003 nilikuwa mwanafunzi wake mtiifu wa makala zake hasa gazeti la Rai.
 
Back
Top Bottom