Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 65
Jamaa aliingia baa akiwa na bastola na kukuta baa imejaa watu , wengi wakiwa mwanaume na mwanamke. Akasimama katikati ya baa na kupiga risasi moja juu na kutamka kwa sauti. "NAMTAFUTA MKE WANGU! YEYOTE ALIYEKUJA NA MWANAMKE ASIYE MKE WAKE, ATOKE NJE HARAKA!! kama umeme wanaume wote walitoka nje mbio na kuwaacha wanawake wakiwa wameduwaa!!!