fungafunga
Senior Member
- Mar 30, 2010
- 116
- 155
Niwaombe mhusike na kichwa cha habari hapo juu!
Nasikitika kwa ukimya wa mbunge wangu huyu! Mwenye taarifa zake popote alipo naomba mumfahamishe kuwa mimi mwananchi wake sijamsikia wala kumuona popote kwa zaidi ya miaka mitatu sasa!
Siombi chochote kutoka kwake zaidi ya zile ahadi alizoniahidi wakati wa kampeni zilizopita.
Popote alipo mumwambie arudi aje kutusalimia na kutupa taarifa ya wapi amefikia katika kutekeleza ahadi zake!
Nasikitika kwa ukimya wa mbunge wangu huyu! Mwenye taarifa zake popote alipo naomba mumfahamishe kuwa mimi mwananchi wake sijamsikia wala kumuona popote kwa zaidi ya miaka mitatu sasa!
Siombi chochote kutoka kwake zaidi ya zile ahadi alizoniahidi wakati wa kampeni zilizopita.
Popote alipo mumwambie arudi aje kutusalimia na kutupa taarifa ya wapi amefikia katika kutekeleza ahadi zake!