Nasikia jimbo la chalinze lina mbunge kupitia ccm anaitwa Saidi mwenye habari zake hebu anijulishe maana ni mbunge wangu mimi sijawahi muona hata siku moja toka uchaguzi na wala sijui anafanya nini. Pia naomba m4c hebu ije Chalinze kulikomboa hili hawa Magamba hakuna kitu wanafanya wananchi wamepigika kuliko maelezo. Tembelea zahanati zote dawa hakuna hata karatasi za kufungia paracemol hakuna linachanwa daftari la mgonjwa then kufungia yaani majanga matupu.