Unajua cuppy nilivyokuwa primary yeah pale Mlimani tulikuwa tunadandia mabus...Wee muulize Moelex atakwambia alafu siku ya kufunga shule tulikuwa tunaambiwa kuna chinjachinja basi weeh tulikuwa tunaogopa sana...
so wakati wa kutoka shule ukifika mnaelekea kituoni eeh bus likija na hivi una crush na jamaa unajifanya sister duuh kweli ila nilikuwa siangalii makunyanzi mwenzio nilikuwa nadandia tena nilikuwa nalianzia mbali kishenzi hata kabla halijasimama then nalidandia.....
Moelex kaka yangu upo wapi! mwenzio na remincing about them old days at Mlimani primary school