Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,226
- 113,575
kwikwikwikwikwi wanajua vijana chovya chovya......asikuambie mtu kuoa ngumu miaka 7 sasa napanga kuoa kila siku nakutana na mali mpya mpya....
aka...........
kwikwikwikwikwi wanajua vijana chovya chovya......asikuambie mtu kuoa ngumu miaka 7 sasa napanga kuoa kila siku nakutana na mali mpya mpya....
kuna jamaa wangu kategeshewa na shori wake...shori kajinasisha shori mboga saba kasema yeye anachotaka ni ndoa tu....jamaa kawa mdogo kama piliton....nimeona picha zake za harusi kanuna huyo na suti lake jeupe......Hahahaah nimecheka sana hapa kwenye kiofisi chini ya Mkungu looooh Yo Yo!!1
Icadon ndugu yangu...yeah of course ndoa ni mipango ya mungu na mungu hatakusaidia kama huta work out on it....so wewe utakaa tuu mpaka mungu aje akuletee mwanamke hodari ambaye utakuwa naye hadi kifo kikujiri?.....huwezi ukakaaa tuu home ukasemanasubiri mungu anitafutie kazi....
Hehehe mie nishamake up my mind-I Don't want to get married- sasa I am not looking for huyo mwanamke hodari(whatever that is)....
Hehehe mie nishamake up my mind-I Don't want to get married- sasa I am not looking for huyo mwanamke hodari(whatever that is)....
kwikwikwikwikwi wanajua vijana chovya chovya......asikuambie mtu kuoa ngumu miaka 7 sasa napanga kuoa kila siku nakutana na mali mpya mpya....
Hata mtoto hutaki?.....mwanamke hodari si yule mwenye moral and value na pia ana keep up with culture au?...
Wewe sio muoaji lol. Ila good luck bro maana mie uwa nawapongeza sana watu wanaofunga ndoa na kukaa faithful kwenye ndoa zao.
mnafaidi sana AKA nakubali aisee.....unajua kwa zile totozi namuunga mkono Icadon kutokuoa....Tokea nimwonyeshe AKA kachanganyikiwa kabisa. Sasa anataka kuzuka GA....
mnafaidi sana AKA nakubali aisee.....unajua kwa zile totozi namuunga mkono Icadon kutokuoa....
Tuko pamoja mkuu....
Unajua eeh..hivi kwa nini mtu uwe tied na mtu mmoja for the rest of your life? Hamuoni Oprah anavyofanya? Leo yuko na Steadman...kesho yuko na Tyler Perry....
kwikwikwikwikwi wanajua vijana chovya chovya......asikuambie mtu kuoa ngumu miaka 7 sasa napanga kuoa kila siku nakutana na mali mpya mpya....
Hehehe na wewe unaamini kwenye hili "a way to a man's heart is through his stomach"?
Whaaat? Tyler Perry!! wewe?! umeitoa wapi hiyo? bossip?
Bossip..mediatakeout...sandrarose....kwa miss Sophia..Mizz Shyneka