Namtafuta Joseph Nicas Lukoa

Alisoma maua seminary.....then akaja mzumbe na chuo amemaliza UDSM LLB 2011. Kwao gombo la mboto na mwaka huu mwezi wa 3 alifiwa na mama yake mzazi.

Kumbe jamaa alifiwa na mama yake, sikulijua hilo.
R.I.P Mama Jose.
 
Mrejesho.
Nashukuru nimempata....asanteni kwa wote mliompigia simu na kumwambia anatafutwa. Nimeamini jamii forum ni mtandao mkubwa sana.

Asanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…