Ungema na shida yako kwake mkuu, hao mnao watafuta wengini ni ndugu na jamaa zetu. Tunaogopa kuwaambia tunawajua pengine tutawachomeaMara ya mwisho nilionana nae Arusha way back huko maeneo ya kijenge karibu na kanisa katoliki, tafadhali kama kuna anayemfahamu au kama yupo humu...namtafuta sana sana.
Huyu c mdo alimng'oa mke wake meno uko Arusha baara ya mwanamke kupigwa ururu na wahuni
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app








Naam nambieMlevi mmoja![]()

Hii inabidi tushirikane.Bhc na ww mtafute
Yupo bukoba mjiniMara ya mwisho nilionana nae Arusha way back huko maeneo ya kijenge karibu na kanisa katoliki, tafadhali kama kuna anayemfahamu au kama yupo humu.
Namtafuta sana sana.