Nawatafuta Shija Herman, Gaspa Ndege na Libu Shija mara ya mwisho tuliachana kurasini.
Namtafuta Deus Nyenza mara ya mwisho tuliachana mbezi beach.
Wa mwisho msichana niliyempenda kwa dhati na hata toka katika moyo wangu. Anaitwa Jamila Kanyaishozi mtoto wa Dr mara ya mwisho tuliachana kwamtoro Kondoa.