nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Habarini,
Dada yangu huyu aliolewa kigoma na fundi umeme mtumishi wa tanesco kwa jina Kulwa na baadae walihamia Dodoma na hadi sasa wanaishi Dodoma.
Yoyote aliye na mawasiliano nae aniunganishe nae,plz!!
Dada yangu huyu aliolewa kigoma na fundi umeme mtumishi wa tanesco kwa jina Kulwa na baadae walihamia Dodoma na hadi sasa wanaishi Dodoma.
Yoyote aliye na mawasiliano nae aniunganishe nae,plz!!