Chukua ilo jina lake andika google...
Unaweza mbahatisha Insta, FB au LinkedIn just in case kama hakuficha utambulisho. Maana kuna wengine nyumbani anaitwa Shabani Abdallah huko( social nets )/anakuwa Kendrick Lamar
Mi na wewe nani mgeni? najua mpaka wewe na mahondaw are an item, najua we ni mzee wa subiri waje wakupe muongozo....uongo??
Yule mwanamme ni mbishi hatari hana accounts kwa social nets, si kind ya wale wanaofake life pia
✋🤚Kama huna msaada pita kimya kimyaaaaa