sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,162
Dear members!
Namtafuta huyu mwanamke mwenye jina hilo.
Alikuwa mpenzi wangu japo sikuwahi ku sex naye japo Romance tu. Kwao ni Moshi, Manushi Sinde au Manushi ndoo.
Ilikuwa mwaka 1998/99 tulipopotezana ghafla kwa kufukuzwa haraka sana bila kuniaga., kosa ni mimi kuwa na uhusiano naye. Aliishi Morogoro kipindi hicho kwa Marehemu Kamete au Mama Pendo, Manka.
Kama kuna mtu yeyote anamfahamu aje PM kwa mawasiliano naye zawadi nitatoa. Nilisikia kuwa ameolewa na hupendelea kwenda Kenya nk.
Namtafuta huyu mwanamke mwenye jina hilo.
Alikuwa mpenzi wangu japo sikuwahi ku sex naye japo Romance tu. Kwao ni Moshi, Manushi Sinde au Manushi ndoo.
Ilikuwa mwaka 1998/99 tulipopotezana ghafla kwa kufukuzwa haraka sana bila kuniaga., kosa ni mimi kuwa na uhusiano naye. Aliishi Morogoro kipindi hicho kwa Marehemu Kamete au Mama Pendo, Manka.
Kama kuna mtu yeyote anamfahamu aje PM kwa mawasiliano naye zawadi nitatoa. Nilisikia kuwa ameolewa na hupendelea kwenda Kenya nk.