Pole bro, Mshukuru Mungu kaktika yote, Mungu ndiye mwenye mamlaka yote na Ndiye Mwanzo na Mwisho, Kwa hiyo yeye ndiye anajua mwanzo wako na mwisho wako na hata kusudi la kukuleta Hapa Duniani, unatakiwa uelewe kusudi hasa la mungu katika Maisha yako.
Karibu tena JF.