Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,338
Wakuu habari zenu nataka kwanza kuanza hapa.
Je, ni sahihi kumukosoa Rais? Kama ni sahihi nianze kwa kumkosoa mama Samia kwa machache, najua kila mtu anaona kazi anayo fanya Rais wetu. Kiukweli mama anapiga kazi vizuri sana.
Lakini hakuna aliye mkamilifu mimi nashauri mama awe na msimamo siyo anachofanya, mimi nakosoa taratibu aliyofuata ya kutovunja baraza halafu anatengua mmoja mmoja.
Najua humu kuna watu walio karibu na mama, mwambieni mama afuate katiba; huyo ni Rais mpya na wa awamu nyingine kwahiyo inapaswa avunje baraza harafu ndio ateuwe upya. Mama fuata katiba japo unayofanya ni mazuri.
Team zote naomba mje kutia neno au kukosoa.
Je, ni sahihi kumukosoa Rais? Kama ni sahihi nianze kwa kumkosoa mama Samia kwa machache, najua kila mtu anaona kazi anayo fanya Rais wetu. Kiukweli mama anapiga kazi vizuri sana.
Lakini hakuna aliye mkamilifu mimi nashauri mama awe na msimamo siyo anachofanya, mimi nakosoa taratibu aliyofuata ya kutovunja baraza halafu anatengua mmoja mmoja.
Najua humu kuna watu walio karibu na mama, mwambieni mama afuate katiba; huyo ni Rais mpya na wa awamu nyingine kwahiyo inapaswa avunje baraza harafu ndio ateuwe upya. Mama fuata katiba japo unayofanya ni mazuri.
Team zote naomba mje kutia neno au kukosoa.