shirima Mathias
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 451
- 1,320
Tetesi zimeshaanza kuzagaa, na hivyo ccm kujiondolea aibu ni kutafuta pa kujificha, ilani imekwamishwa na AMUNIKE. Kujiuzulu ni heshma kuliko kufukuzwa. Ni hayo tu. Munisamehe
Ushauri wangu mdogo tu !! Tulete Kocha au msaidizi kutoka hukohuko tulipo fungwa ..ili atupe mbinu zao!!
Kuanzia sasa nimemfukuza AmunikeTetesi zimeshaanza kuzagaa, na hivyo ccm kujiondolea aibu ni kutafuta pa kujificha, ilani imekwamishwa na AMUNIKE. Kujiuzulu ni heshma kuliko kufukuzwa. Ni hayo tu. Munisamehe
Mpira ni zaidi ya mbinu za kocha, mpira huanza na kipaji. vipaji hutofautiana kuna vipaji vya viwango,WATANZANIA wengi tunadhani mpira ni wa kujifunza kama kuwafundisha wanajeshi ilimradi una akili timamu na afya njema.Wengine wanasema tuwekeze kwenye soka la vijana kwa kuanzisha football academy nyingi,shida ni kuwa je kuna vipaji vya kiwango cha akademi halisi au tutaishia kuwa na vitu kama akademi.Tunalazimisha kuwa taifa lenye mafanikio ya kisoka,kwa hisia kama waganga wa kienyeji.Mpira ni mchezo wenye pesa sana ingekuwa ni kujifunza tu bila vipaji leo hii waarabu na nchi nyingi za ulaya zingekuwa na watu wengi sana kwenye mchezo wa soka.Vipaji ndio vinafanya Brazil,Ujerumani na Italy kuchukua kombe la dunia mara kadhaa kuliko nchi nyingine nyingi.Ushauri wangu mdogo tu !! Tulete Kocha au msaidizi kutoka hukohuko tulipo fungwa ..ili atupe mbinu zao!!
Kujifariji ujinga...madagascar first attempt na wameingia hatua ya 16 bora. Fatizo ni moja tuu...hatujui mpira na hatutatika kufanya sacrifices ambazo mafanikio ya mpira yanahitaji.jaman kocha hana kosa, safar yoyote huanza na single steps, haikua rizki tu, ni kocha uyo uyo katuingiza kwenye mashindano ambayo ni miaka mingi tukiyashiriki, asiekubali kushindwa si mshindani kwani kocha ndo aliwafanya wapaishe mipira juu ya gori? What if isinhepaa ikaingia kocha uyo uyo mngesema anastaili pongezi. Tumecheza na wazoefu, na timu zenye ranks, ni afadhar tumepata hata tuition next time tutasogea mbele zaidi..
Aya click apa upate vocha zako https://jamiiforums.com/r56SdaG1UX
🙋🙌😜Jecha alisharekebisha mambo, View attachment 1145297
Wanatekeleza Ilani, Kocha anaviwango vya Kimataifa si vyakutekeleza Ilani.
Ahssante... Tupate Kocha Mwaraabu ..Maana miaka mingi tumekuwa wateja wao tukikatizwa na kuzidiwa Maarifa na umahiri ktk Soccer (mpira lhisha yake Lazima ufunzwe) Siri ipo kwao....Una maana tupate, msenegali, mualgeria au mkenya, maana hao ndo waliotufunga? Au una maana tupate mmisri!
Well said!! Naamini vijana wapo !! Facilities hazipo!!Mpira ni zaidi ya mbinu za kocha, mpira huanza na kipaji. vipaji hutofautiana kuna vipaji vya viwango,WATANZANIA wengi tunadhani mpira ni wa kujifunza kama kuwafundisha wanajeshi ilimradi una akili timamu na afya njema.Wengine wanasema tuwekeze kwenye soka la vijana kwa kuanzisha football academy nyingi,shida ni kuwa je kuna vipaji vya kiwango cha akademi halisi au tutaishia kuwa na vitu kama akademi.Tunalazimisha kuwa taifa lenye mafanikio ya kisoka,kwa hisia kama waganga wa kienyeji.Mpira ni mchezo wenye pesa sana ingekuwa ni kujifunza tu bila vipaji leo hii waarabu na nchi nyingi za ulaya zingekuwa na watu wengi sana kwenye mchezo wa soka.Vipaji ndio vinafanya Brazil,Ujerumani na Italy kuchukua kombe la dunia mara kadhaa kuliko nchi nyingine nyingi.
Timu apewe Bashite awe kocha mkuu. Msaidizi wake awe Slowslow. Hapo tutachukua wedikapu asubuhi tu.Tetesi zimeshaanza kuzagaa, na hivyo ccm kujiondolea aibu ni kutafuta pa kujificha, ilani imekwamishwa na AMUNIKE. Kujiuzulu ni heshma kuliko kufukuzwa. Ni hayo tu. Munisamehe