Namshauri daktari aliyesimamishwa kazi na Waziri wa Afya huko Chunya, Mbeya, aingie sekta binafsi

Tunataka university Teaching hospital kama Kenya na Uganda.
 
Aliyekwambia kuw hatarudishw ni Nani?
 
Pole ndugu yangu. Bila shaka unaumwa. Waombe ndugu wakupeleke hospitali inayoshughulika na magonjwa ya afya ya akili ili kujiridhisha kama umzima au la! Dalili hazioneshi kama umzima.
 
Pole ndugu yangu. Bila shaka unaumwa. Waombe ndugu wakupeleke hospitali inayoshughulika na magonjwa ya afya ya akili ili kujiridhisha kama umzima au la! Dalili hazioneshi kama umzima.
We jipeleke mwenyewe ndio kunakuhusu!
 
Hata Coronavirus Covid-19 ilivyoanza kutokea China, madaktari walitahadharisha, serikali ya China ikawa inaficha ukweli.

Mpaka ilipokubali, tatizo lilikuwa kubwa sana.

Hatujifunzi
 
Acha kuimba kisungura hapa


Mojawapo ya majukumu ya Mganga mkuu Wilaya ni kuwa msemaji wa masuala yote ya afya ndani ya eneo lake la utawala.

Waziri yeye hupelekewa taarifà.

Kama ni janga linalokumba eneo la zaidi ya wilaya au mikoa tofauti hapo ndipo Waziri na Katibu Mkuu Wizara wanahusika.

Naona unaanza kuimba wimbo wa kuhalalisha ushetani kwenye hili sakata la kipuuzi la kumsimamisha Mganga wa Wilaya
 
... kosa ambalo Dr yule hatachomoa ni kujitwalia mamlaka ya "kutangaza" huku akijua mamlaka hayo ni ya waziri wa afya peke yake au kwa atakayemkaimisha kwa niaba yake. Mnakumbuka ya Dr. Mwele Malecela na zika? Analiwa kichwa yule.
Kea hiyo janga likitokea nyumbani kwangu mwenye mamlaka ya kulisemea ni kiongozi wangu wa Mtaa?

Acha utoto
 
Dokta Mwele alijitwalia mamlaka ya kuisemea nchi na haihusiani na issue kama ya mganga wa wilaya.

Mzee naona umeamua kulazimishia saikolojia ya kishetani sasa
 
Napinga na wewe kidogo kwenye swala la kutangaza magonjwa ya mlipuko utaratibu Ni tofauti mganga mkuu haruhusiwi, Sheria inasema waziri wa afya, mganga mkuu wa serikali, au mtu atakaye teuliwa na waziri wa afya. Kwa uelewa zaidi kasome public health act ya 2009
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…