NAAMINI
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 672
- 231
Chadema na siasa za unafki na uzandiki. Pole
sana le professor Lipumba kwa kuwa akili yako
ni sawa na ya panzi. Ni mwaka tuu tangia chama chako kiitwe kinachoamini katika ushoga na Ezekiel wanje tena kwenye chombo chenye hadhi na kinachotazamwa na watanzania wote BUNGE.
Mlijifanya kuleta fujo na kodi za wananchi mkazila bure leo umedhiirisha kuwa nyie (chadema n
cuf) ni washiriki wa ndoa ya jinsia moja kitendo
chenu cha kuungana bila kufuta tofauti hizi
kunatuchanganya.
Nimnukuu wanje "CCM wao mrengo wao ni wa
KUSHOTO, CHADEMA wao mrengo wao ni wa KATI democratic, CUF ni MALIBERAL watu wanaoamini katika ushoga na usagaji" si maneno yangu angalia hapa.
sana le professor Lipumba kwa kuwa akili yako
ni sawa na ya panzi. Ni mwaka tuu tangia chama chako kiitwe kinachoamini katika ushoga na Ezekiel wanje tena kwenye chombo chenye hadhi na kinachotazamwa na watanzania wote BUNGE.
Mlijifanya kuleta fujo na kodi za wananchi mkazila bure leo umedhiirisha kuwa nyie (chadema n
cuf) ni washiriki wa ndoa ya jinsia moja kitendo
chenu cha kuungana bila kufuta tofauti hizi
kunatuchanganya.
Nimnukuu wanje "CCM wao mrengo wao ni wa
KUSHOTO, CHADEMA wao mrengo wao ni wa KATI democratic, CUF ni MALIBERAL watu wanaoamini katika ushoga na usagaji" si maneno yangu angalia hapa.