idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,298
- 38,438
Akihutubia wananchi wa Vunjo amesema Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC haiko huru kuanzia leo,baada ya baadhi ya watendaji kubadilishwa hivyo kuanzia sasa wananchi watambue Tume yao haiko huru.
Hivi kabla ya baadhi ya watendaji kubadilishwa Tume ilikuwa huru?
Ina maana miaka yote Tume ilikuwa huru Hadi leo watendaji walipobadilishwa ndio imekosa uhuru.?
Mh.Mbowe uache kutulaghai wananchi na kutuona hatuna uwezo wa kufikiri wala kuona kinachoendelea ndani ya siasa zetu.!
Wengi tunaelewa Tume haiko huru miaka yote , hivyo unaposema kuanzia leo, unawafanya wenye uelewa wazidi kukushangaa kwa misimamo na kauli zako zenye ukigeugeu.!
Hivi kabla ya baadhi ya watendaji kubadilishwa Tume ilikuwa huru?
Ina maana miaka yote Tume ilikuwa huru Hadi leo watendaji walipobadilishwa ndio imekosa uhuru.?
Mh.Mbowe uache kutulaghai wananchi na kutuona hatuna uwezo wa kufikiri wala kuona kinachoendelea ndani ya siasa zetu.!
Wengi tunaelewa Tume haiko huru miaka yote , hivyo unaposema kuanzia leo, unawafanya wenye uelewa wazidi kukushangaa kwa misimamo na kauli zako zenye ukigeugeu.!