Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
- Thread starter
- #41
Ndio maana naamini hizi avatar na id zinaonesha personality zetu to some extent
acha imani hizo.Nalog off
Ndio maana naamini hizi avatar na id zinaonesha personality zetu to some extent
Shuka halina mfuko. Sosi: -------
umewahi sana kwani hata yeye alikua na mpango wa kuondoka.
Ndio maana naamini hizi avatar na id zinaonesha personality zetu to some extent
Ukishamrudisha huyo mke wako ataendelea kuwa mke wako au akiliwa poa tu!
hapana nina maana ninakwenda kumwacha kwa Talaka mbili.Nalog off
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off
acha imani hizo.Nalog off
ni kweli kabisa bi dada ila kwasababu ni nyumba ya kupanga sintomwacha hivi hivi bila ya kumpa chochote bali nitampa mpunga wa nguvu ili aanze maisha mapya.Nalog off