Namrudisha Mke wangu kwao

kwani hao mabinti unaopiga nje naniliuu zao zina Gold...?? fafanua wapata nin nje ambacho mkeo hana
 
Kumrudisha kwao ndo kumuonea sasa! Unadhani ile small house yake atakua anonana nayo vipi? Manake kwao babake atakuwepo kila siku, kwako ukiwepo hiyo siku moja kwa wiki unamkera kera tu anavumilia anajua kesho haurudi? Unadhani yeye hana akili kubaki hapo na visa unavyomfanyia!? Unanchekesha(FF, 2011)
 
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao.
Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza nikalala nyumbani mara moja na yeye kutonifanya chochote,namuonea huruma huyu binti wa watu,nataka nimrudishe kwao naona kama nambania kwa kuwa nami bora nimrudishe kwao anaweza akapata mume muadilifu atakayefanana naye tabia.
Ila mpaka sasa sijamwambia kitu,nataka jumapili hii nimwambie twende kwao tukawatembelee wazazi na ndio hapo nitakapolilipua hili bomu.Nalog off

dah mwana! Kwa staili hii lazima ukute friend zako wakila makombo yako kila kiwanja utakachoibuka,
siamini haya ila kama ni hivi nakushauri ukae chini ujiulize hasa nini shida yako mpaka utafne kwa fujo kiasi hicho,
zaidi tulia kaka ulenge mmoja utakayeridhika naye utulie,
 
Mlete kwangu nikae nae mimi kukupunguzia mzigo,
Kwa tabia ulizoziaja nahisi tunaendana sana!!
Nimfuate lini sasa, na wapi???
 
unastahili pongezi! wengine maamuzi hayo magumu hawayawezi, wanapenda kula nje na kutesa ndani,utoe na talaka kabisa ok
 
nakushauri ivi wakati unamrudisha, unda kamati ya maandaliz, na uhalike wa2 km ulivyowahalika kwny harusi then ndo uwaambie raia kwamba huzitaki mbichi iz! na michango ye2 u2rudshie! mxinifanye nsiwachangie ata wema watakaonipa kadi!
 
ni kweli kabisa bi dada ila kwasababu ni nyumba ya kupanga sintomwacha hivi hivi bila ya kumpa chochote bali nitampa mpunga wa nguvu ili aanze maisha mapya.Nalog off

Nyumba yenyewe ya kupanga huo "mpunga" wa nguvu uutoe wapi? Unanchekesha, au upo NHC na huku una nyumba nyingine umewekeza?
 
Back
Top Bottom