Nampongeza Sana Huyu Mwalimu

Nampongeza Sana Huyu Mwalimu

Mwl Aron Atanas hongera, na boresha zaidi na zaidi ubunifu huo ili kuwasaidia watoto wa masikini
 
Hongera Sana Mwalimu. Nakusihi uendelee kuwatumikia na kuwajali watoto hawa wa Tanzania yetu. Pamoja na changamoto zinazoikabili kada hii ya ualimu bado naamini kuna kitu ndani ya walimu ambacho kikishamuingia mwalimu basi kumtoka ni kazi (labda ndio wito)
Pamoja na juhudi hizi, ni muda muafaka sasa wadau wote kuunganisha nguvu ili juhudi hizi zisiishie njiani. Viongozi serikalini hivi karibuni wameonekana kuwa na hali hasi kwa walimu. Pamoja na mazingira yao magumu ya kazi wamekuwa watu wa kufokwa, na hata kudhalilishwa. Itoshe sasa na wapewe motisha zaidi.
 
hongera najua ushaanza kutafutwa na shule kubwa usiwaache watoto wa masikini kwa tamaa ya hela ualimu ni wito tumikia wito wako blv me or not utafanikiwa ukiwa hapohapo
Ni kweli aisee.. Nimetafutwa sana na hata wengine wananiletea watoto hapa ofisini na wengine wanataka niende kwao kuwafundisha. Ila nimejipanga kufanya kazi.
 
Walimu hatuwezi kutafuta kick kupitia mitandao ya kijamii. Kama ni kick IPO tu. Kitendo cha wewe tu kujua ku-log in hapa JF tayari kick kwa mwalimu.
Tatizo sio hata la kwako, wewe kudharau walimu ni matokeo ya kitu kingine kabisa ambacho kwa uelewa wako (maana tayari nimeshakupima) wala hautanielewa. Nikusamehe bure tu.
Jibu hili nadhani ni la faraja sana kwa mtu mwenye akili. Nakupongeza sana Mkuu.
 
Mwl Aron Atanas hongera, na boresha zaidi na zaidi ubunifu huo ili kuwasaidia watoto wa masikini
Asante kaka Henry mtoto wa masikini hukombolewa na Mtu anayejali. Labda tuseme wazalendo ndiyo wataoifanya nchi hii iendelee kwa nguvu na maarifa yao.
 
Hongera Sana Mwalimu. Nakusihi uendelee kuwatumikia na kuwajali watoto hawa wa Tanzania yetu. Pamoja na changamoto zinazoikabili kada hii ya ualimu bado naamini kuna kitu ndani ya walimu ambacho kikishamuingia mwalimu basi kumtoka ni kazi (labda ndio wito)
Pamoja na juhudi hizi, ni muda muafaka sasa wadau wote kuunganisha nguvu ili juhudi hizi zisiishie njiani. Viongozi serikalini hivi karibuni wameonekana kuwa na hali hasi kwa walimu. Pamoja na mazingira yao magumu ya kazi wamekuwa watu wa kufokwa, na hata kudhalilishwa. Itoshe sasa na wapewe motisha zaidi.
Asante ndugu. Umeongea vema sana.
 
Mara nyingi hao walimu huchagua wanafunzi 10 waelewa na yupo tiyari awe anawafundisha usiku nyumbani kwake. Sisi tulikuwa 12 mmoja akajitoa tukabakia 11 na mwisho vijana 6 pekee shule malumu kama kilakala girls, kigonzela boys and girls, ifunda tech na mzumbe. Nikionana nae yule mwalimu huwa hakosi pongezi ya kupeleka home kwake au mfukoni mwa suari yake.
 
Ni kweli aisee.. Nimetafutwa sana na hata wengine wananiletea watoto hapa ofisini na wengine wanataka niende kwao kuwafundisha. Ila nimejipanga kufanya kazi.
sio mbaya ukiwafundisha hao wanaokuja hapo kwako au hata ukiacha kazi ila uwe na uhakika wa ajira unayoenda kuifanya tumia akili yako vizuri nakutakia mafanikio mema
Jibu hili nadhani ni la faraja sana kwa mtu mwenye akili. Nakupongeza sana Mkuu.
 
ongera mwalimu, msalimie mwalimu OMAR ALINIFUNDISHA MBUYUNI MIAKA MINGI hIVI YUPO HAI KWELI?
NI mkali wa namba mbya mtu huy.!
Yupo hai.. hadi hivi miaka ya karibuni alikuwa anafundisha msasani.. sina uhakika kama ameshastaafu... jamaa ni kichwa mno.. back in the days mbuyuni kulikuwa na omary. msasani hyera.. wakali wa namba hao
 
Back
Top Bottom