Nampongeza Rais, tulisubiri ulianzishe....

Nampongeza Rais, tulisubiri ulianzishe....

Desperate situation demands desperate measures.

Sasa kwa yaliyofanyika awamu ile ya 3 & 4 utarudishaje fedha zilizoibiwa? Utakomeshaji uhuni na ufisadi uliokithiri toka Ikulu mpaka ofisi ya Kitongoji? Na kama utambana Karamagi, Chenge na Yona, je kwanini usimbane Mkapa na Kikwete?
Hata huyu si alikuwepo kwenye Baraza la Mawaziri? achana nao mkuu.
 
Hotuba yoote mimi kilichoniacha hoi ni shukrani kwa wasanii. Labda sababu nilikuwa nasikiliza kwenye kasimu kangu ka torch lakini mliowaona walistahili kweli kusifiwa hivyo? Pili je, Chenge alikuwepo? Karamagi je si nasikia ni kada muwezeshaji wa chama?
 
Aisee kwa hili hata mimi nampongeza ila shida moja tu bado anaona wanaopiga kelele bungeni na kupewa adhabu na kina Ndugai ndio wakosaji wakati wakosaji ni hao wa chama chake na ndio walio tufikisha hapa
Mkuu katika hili hata mimi ninamuunga mkono, lakini kwa suala la yanayofanyika mjengoni naona ametanguliza mapenzi kwa chama kuliko haki.
 
Tatizo ndilo hilo, la bendera fuata upepo. Yaani mnasubiri mpaka Rais alianzishe ndipo na nyie uzalendo uwarudie! Don't we have obligations as wananchi?? tutakuwa tunasubiri mpaka Rais alianzishe tu????? very silly argument.
 
Back
Top Bottom