nilikuwa nampendaga sana huyu dem ila siku kuja kumuona live dah! ni kembamba mno halafu hakana kimo kamekaukaa na suraya kawaida sio kama anavyoonekana kwenye picha aseee, kwakweli napendaga madem wembamba ila vanessa amezidi kukauka!! sijui hakali masikini ya Mungu au ndo dayati!!