Nampenda sana mume wangu lakini kanikatisha tamaa, nimelazimika kujitenga nae.

Nimekaa nae sana,mpaka wazazi wake wamekaa nae na kuuliza tatizo ni nini hasemi tatizo,nimemuomba anisamehe kama mimi ndo tatizo anambie nijirekebishe wapi anatulia siku mbili ananimbembeleza asubuhi jioni tukio lingine kubwa zaidi linatokea. nakumbuka kuna siku mpaka mamake kalia mbele yangu akimsihi mwanae abadilike.

Kunavitu huwa watu wengi siku hizi hatuviangalii au hatuvijali tena kama babu zetu au mababu zetu zamani. Jaribu kuchunguza kwenye ukoo wao inawezekana kuliwahi tokea mtu aliyewahi kuwa na tabia kama zake kwenye ukoo wao huko nyuma au watoto wa shangazi zake au watoto wa mama wadogo au wakubwa yaani angalia ukoo wote kama unaweza. Maana vitu hivi ambavyo saa ingine vinatokea kwa tabia za kurithi ambazo zinaweza jitokeza baada ya mtu kufika umri fulani au baada ya wakati fulani na hili mtu anajikuta tuu anafanya bila kujijua na inaweza kuwa hata yeye hapendi anajikuta tuu. Ukishagundua kitu ni rahisi kujua nini cha kufanya hasa maombi maana mambo ya mizimu ya ukoo inataka nguvu za rohoni kukabiliana nazo. Pia upande wa pili mambo ya ushirikina yapo, si watu wote walifurahia ndoa yenu either wanawake wengine walitaka waolewe nae hivyo baada ya kuona kawatolea nje basi wakamtupia kijini cha mahaba ili tu wamuahribie na hili hawezi jicontrol ila kwa maombi tuu tena ufungu mshipi haswaa au yaweza kuwa kuna mkaka alikupenda wewe na alitaka akuoe ila kwa kuwa umemkubali huyo mumeo na kuolewa nae hakutaka kukudhuru wewe kamdhuru huyo jamaa ili umuone kuwa hafai tena na wewe umeachika inaweza kuwa ni goal yake moja na ukiwa kwenye hali ya maisha mapya nje ya ndoa baada ya kuheal angalia watu watakaojitikeza kukufariji na kutaka kuanza mahusiano na wewe, lazima atajitokeza hapa ili kuziba nafasi na kuachive goal yake ya kukupata jaribu kuwa makini maana duniani kuna vitimbwi na vituko, kunabinadamu wako radhi wafanye lolote wawezalo wapate wanachokitaka watu wa namna hii waogope sana ni hatari.
Pole kwa yaliyokukuta na funga mshipi wa maombi na sala kila kukicha na kukikuchwa bila kuchopka wala kukata tamaa.
 
pole sana....mie nina swali moja...kabla ya kuoana je ulichunguza tabia yake vizuri hasa kuelekea utumizi wa dada poa au ndio uliingia kichwa kichwa? nasema hivyo kwa sababu ni nadra sana kukuta jamaa anaanza tabia ya kupenda ngono baada ya kuoa
Nilifahamiana nae miaka 4 kabla sijawa nae, tena kwa ukaribu mkubwa na sikuwahi kusikia wala kuhisi tatizo kwake. mpaka baada ya kukaa nae kwa muda,ila nimegundua kwamba ni msiri sana maana aliwahi zaa mtoto kabla hajawa na mimi hata wazazi na marafiki walikuwa hawafahamu. watu wa karibu nae wanaojua yanayotokea ndani kwetu wanashangaa sana kwamba sie yule wanaemfahamu wao amebadilika sana.yawezekana alikuwa hivyo toka mwanzo ila alifanya kwa siri sana.
 
Pole sana dada yangu, japo ni maamuzi magumu lakini ni sahihi kwa hali ilivyo sasa. Muda hutibu yote, sali na tumia tiba ya muda vizuri, naamini majibu yatakuja sahihi
 
Nina siku nyingi sana usingizi kwangu shida, hamu yakula sina,hata utendaji wangu wa kazi unapungua sana, sababu kubwa ndoa yangu jamani,nalazimika kutengana na mume wangu hali bado nampenda. mume wangu kawekeza katika ngono sijui tatizo nini,muda mfupi wa ndoa yetu na watoto wetu 2 bado wadogo kazaa nje ya ndoa zaidi ya mtoto mmoja, anatembea mpaka na majirani zetu tena wale wenye story mbaya wanasemekana wanajiuza. nimejaribu kujishushaa, kumuomba turekebishe kama kuna matatizo lakini mwenzangu kila kukicha anaongeza speed ya wanawake.
Yamenishinda , imenibidi nitengane nae, nina siku 3 sasa nipo nyumbani kwa wazazi wangu najipanga nianze maisha mapya ya bila mume na watoto bila baba yao. naumia sana sababu sikuwahi fikiria kutengana na mume wangu na katika familia yangu yenye watoto 5 waliolewa na 2 waliooa mimi ndo wa kwanza kuleta shida zangu nyumbani. najisikia vibaya sana lakini sina namna nyingine naogopa kufa kwa ukimwi na stress za hawara za mume wangu. Nimaamuzi magumu sana kwangu yananifanya nilie na kukosa amani sijui lini nitarudi katika hali yangu ya kawaida. Mume mpaka naondoka namuona hajali wala kuumia familia kuvunjika. Nampenda sana na siku zote nitamuomba Mungu amuepushe na magonjwa na amjalie kutulia ili hata kama ataanzisha familia nyingine asiiumize kama alivyoniumiza mimi na watoto wetu.Mungu amjalie afya njema na baraka ili kama ataweza awatunze na watoto pia kama alivyokuwa anawatunza.
sijui maisha bila baba yanakuwaje na maisha nje ya ndoa yatakuwaje sijui hata nianzie wapi. Mume wangu ungejua nia ya moyo wangu kwako usingenifikisha hapa ungenipenda na kuniheshimu usingeniumiza kwa ajili ya wanawake wengine na majibu mabaya kwangu.
Aisee..
Nimesoma..maushauri
Watu wana maushauri aisee
Mie ujinga huo wa maushauri ya kipumbavu kwenye sensitive era like this sikujaaliwa..


mbalisana sikia, mpaka mnakamilisha sensa ya watoto 2 si haba mbali mmetoka, mambo yenu, vyanzo vya ndoa yenu, vyanzo vya matatizo(hasahasa chimbuko), wewe ndiye shahidi Wa kweli, Mungu ni Hakimu wa kweli hahukumu Kama sisi binaadam tunavyodhani. Sasa kama wewe umejiridhisha si chimbuko la ubaya ndani ya ndoa yako Basi uendapo utafanikiwa, lakini kama source ni wewe labda Kwa sababu ya domo, mwanamke unaongea mpaka mwananume anaweka mto masikioni, au madharau mwanamke mabega juu full of ma-proud a-z, au mwanamke unambania mumeo hasa kitandani huku ukitema maneno Kama ''mwanaume saa zote ngono tu unadhani hiki chakula?'' au ukiwa chanzo Cha kero yoyote (manake mwanaume huenda out akiendeashwa Na roho Za visasi), Na Kama wewe you are clean 100% mama I support you nenda Na your life utafanikiwa, but if you know yourself kwamba Kwa upole wa mumeo Na ukimya wake wewe umeutumia mwanya huo kupenyeza chokochoko hadi mumeo akawa kitembezi lazima ulipie, mwanamke mpumbavu(SIO mwanaume) huibomoa nyumba yake Kwa mikono yake mwenyewe.

Ngojea nikueleze 98% ya makuzi au mabomoo ya ndoa is from women. Mwenyezi Mungu amewapa mamlaka makubwa sana ya kuzilinda ndoa zao but Kama watabehave kiuwanawake, ndoa myingi Za kiislam wanawake wanafundishwa Kwa ukali kubehave as real women wanatii sana Na ndoa zinadumu Na ukileta choko unakula talaka fasta, ukimtukana mumeo, eti ukimpigia makelele, eti ukimbania k, ukimzodoa fasta unakula white paper so many woman behaves very well in their family. Lakini tofauti sana Na ndoa Za kikristo, Ndani ya ndoa hakuna baba Wala mama wote wababe, Mwanamke anajihisi kafikaa, anajua Ndo bye bye tena hataachwa Wala mwanaume Hana ubavu Wa kuoa tena Basi mwanaume atafanyiziwa mavitu humo ndani Na Kwa nature ya men SIO waongeaji wao ongea yao ni kujifariji out. Tena mwanaume Kama huyo akishachizi kiivyo hachagui anaanzia vi Housegirl, majirani mpaka wake Wa majirani labisaa, tena akisikia jirani yake kafiwa Na mumewe yeye ndo anafanyia double faraja hapo. Na akifika huko Basi atalalamika anavyotendewa Na mkewe Na Kwa kawaida wanawake wana huruma wanaona wamgawie baba wa watu kile anachokikosa huko ndoani.

Halafu tabia mbaya ya kusema unarudi nyumbani, nyumbani wapi, nyumbani kwako ni hapo hapo sasa hicho tu cha kusema warudi home ni kiburi, at an age of 30th Mtu anadai anaenda kuishi Kama mtawa hii haiko
Sawa.. Wanaume ni viumbe laini na teketeke sana, kumwendesha mwanaume ni rahisi sana Kama ukitenda kama mwanamke yaani ukawa laini kwake, ukamtii, ukawa mkimya .. Mwenyewe utajikuta unamburuza. Ila ikijifanya teacher flan, domodomo, ngangari, aisee utakiona..

---- mwanamke alifikia hatua mbaya sana Na Mumewe, viongozi Wengi wa dini walimpa maushauri ambayo hata wao hawayawezi, alipokuja kwangu kutokana Na mwendo wa maisha Na majeraha waliyotendeana Hata hakuna room ya kuanza kuexercise huo utii( unajua inafika stage kwenye
Ndoa Hata ukisema umtii mumeo utaanzia wapi manake maneno ya uchungu, kisirani yamejaa pande zote). So simple nikamshauri afanye Kama anaigiza utii. Ni kama bongo movie, watu wanakumbatiana, unawaona wamelala kitandani. Wanaitana honey, bebi nk, but yote ni maigizo tu uhalisia wanaweza kuwa mahasimu wakubwa tu but for the sake of moves they act that. Mie nikamwambia embu nae ajifanye yuko mbele ya kamera anaact kumtii mume wake fo only 7 days aone reault, Yaani abadilike kabisa awe kama chizi amwite mumewe majina yalee matam, amtendee Kama vile anakolezea movie yake, malavidavi ya kitandani amtendee Kama anaigiza manake upenzo uko zero ground.

Kweli akaenda akafanya moves yake ya wiki, ilikuwa ngumu manake kila kitu was 100% moves, no love at all, lakini Kwa sababu ya maneno ya watu Kwamba Mtu huyo(me) ni kisima Cha hekima Na ushauri(ila mie sijui watu wanansingizia tu) she caries that faith and exercise the very hard and difficult movie-shooting for 5 days. Cha kwanza Kwa mumewe was a suprise, alistuka sana , akajua no no no, something was wrong somewhere, kuna kidudumtu kamzibua mkewake, tokea wafunge ndoa hajawahi kuona
Hii kitu Mkewe akimtendea so kuna Mtu amzibua mkewe, jamaa akaparamiwa na
Wivu akaaza kufuatilia nyendo Za mke wake imagine always akawa anaomba vilikizo vifupi kazini aweze kugundua who is behind this. Na mie nikamwambia for the time asiwasiliane na Mtu yeyote na abadilishe namba Na wote anaowapigia wawe ndugu Za mume au wanawake wenzake. Jamaa aliendesha zoezi hadi kampuni ya cm na kuminitor watu wanaompigia mkewe(nyie wanaume wana wivu hatari), akanunua mtu Kwenye kampuni kila mkewe akipiga
Cm Yeye anamtumia namba Na kila akiicheki anaifaham, sasa siku hiyo ya 5 mwanaume akakunjuka Na kumuuliza Mkewe mabadiliko hayo makubwa sana asili yake ni nini, simpo Mwanamke akamwambia kuna sehemu alikwenda akaombewa Na akawa huru. Hilo tu, mwanaume nae akamwambia Basi Na Yeye anataka akaombewe .. Nowadays they have a nice marriage. Mwanamke akichange lazima nyumba ibadilike isipobadilika Basi mwanaume ni CHIZI..
 
Last edited by a moderator:
Ha hahahaha
hapana, mapwenti nilishayaona ya kuzidi; ukimaliza points si unaangalia other skills like writing and choice of words, si ndio nikaona WAWATA halafu nikakumbuka jinsi gani nilivyo mvivu kwenye vyama vya kitume n.k
Any way sijawa dhehebu lingine zaidi ya Ukatoliki, lkn l always have open mind na hivyo nachukua mazuri kutoka madhehebu yote hata Islam while keeping my faith (Kanuni ya Imani).
usiwe mvivu ma dear huwa vinasaidia sana na vinakupa tumaini jipya, na kukufanya uwe sehem ya jamii. huwa napenda sana umoja na ushirika hasa wa kitume unanipa nafasi ya kumjua mungu zaid. kuna jambo nataka nikuombe in personal ila kwenye pm .
 
Hayatuhusu.

Mkuu jitahidi kuficha upumbavu wako, watu wanamatatizo wanahitaji misaada ya waungwana,

Kama huna msaada acha kuvuruga thread za watu,

Huu ni uzi wa nne tangu jana nakuona unaharibu kwa kusema hivyo!

Hekima na busara havina duka wala supermarket!
 
Heh! Sasa kama utakuwa hautoki msikitini tutakula nini baba?
Mie ni mkristo lakini napenda kumuona mtu ana hofu ya Mungu wake anaemuamini. Mungu akusaidie uweze kutimiza matakwa yake na akuweke mbali na uzinzi. Manake katika shida za wanawake, hakuna anaelalamika mume hamtunzi wala hamjali, cheatings ndo.zinaumiza zaidi. Hata kama ni issue ya wakewanne taratibu zikifuatwa haitokuwa cheating.
Hahaha kwani we unadhani akienda msikitini, anachukua dakika ngapi mpaa amalize kusali!

Kila salaa inachukua less than 30 minutes.

Sa fanya 30 x 5= 150 Minutes

150/60=2.30/60

Yani kwa ujumala kila siku anapoteza masaa mawili tu na nusu, katika msaa 24!

Yani time nyingi sana anazo zakutafuta mlo na kufanya baishara zake kama anazo, na natime kubwa sana ya kufanya sex nyumbani tu hahaha.
 
Aisee..
Nimesoma..maushauri
Watu wana maushauri aisee
Mie ujinga huo wa maushauri ya kipumbavu kwenye sensitive era like this sikujaaliwa..


mbalisana sikia, mpaka mnakamilisha sensa ya watoto 2 si haba mbali mmetoka, mambo yenu, vyanzo vya ndoa yenu, vyanzo vya matatizo(hasahasa chimbuko), wewe ndiye shahidi Wa kweli, Mungu ni Hakimu wa kweli hahukumu Kama sisi binaadam tunavyodhani. Sasa kama wewe umejiridhisha si chimbuko la ubaya ndani ya ndoa yako Basi uendapo utafanikiwa, lakini kama source ni wewe labda Kwa sababu ya domo, mwanamke unaongea mpaka mwananume anaweka mto masikioni, au madharau mwanamke mabega juu full of ma-proud a-z, au mwanamke unambania mumeo hasa kitandani huku ukitema maneno Kama ''mwanaume saa zote ngono tu unadhani hiki chakula?'' au ukiwa chanzo Cha kero yoyote (manake mwanaume huenda out akiendeashwa Na roho Za visasi), Na Kama wewe you are clean 100% mama I support you nenda Na your life utafanikiwa, but if you know yourself kwamba Kwa upole wa mumeo Na ukimya wake wewe umeutumia mwanya huo kupenyeza chokochoko hadi mumeo akawa kitembezi lazima ulipie, mwanamke mpumbavu(SIO mwanaume) huibomoa nyumba yake Kwa mikono yake mwenyewe.

Ngojea nikueleze 98% ya makuzi au mabomoo ya ndoa is from women. Mwenyezi Mungu amewapa mamlaka makubwa sana ya kuzilinda ndoa zao but Kama watabehave kiuwanawake, ndoa myingi Za kiislam wanawake wanafundishwa Kwa ukali kubehave as real women wanatii sana Na ndoa zinadumu Na ukileta choko unakula talaka fasta, ukimtukana mumeo, eti ukimpigia makelele, eti ukimbania k, ukimzodoa fasta unakula white paper so many woman behaves very well in their family. Lakini tofauti sana Na ndoa Za kikristo, Ndani ya ndoa hakuna baba Wala mama wote wababe, Mwanamke anajihisi kafikaa, anajua Ndo bye bye tena hataachwa Wala mwanaume Hana ubavu Wa kuoa tena Basi mwanaume atafanyiziwa mavitu humo ndani Na Kwa nature ya men SIO waongeaji wao ongea yao ni kujifariji out. Tena mwanaume Kama huyo akishachizi kiivyo hachagui anaanzia vi Housegirl, majirani mpaka wake Wa majirani labisaa, tena akisikia jirani yake kafiwa Na mumewe yeye ndo anafanyia double faraja hapo. Na akifika huko Basi atalalamika anavyotendewa Na mkewe Na Kwa kawaida wanawake wana huruma wanaona wamgawie baba wa watu kile anachokikosa huko ndoani.

Halafu tabia mbaya ya kusema unarudi nyumbani, nyumbani wapi, nyumbani kwako ni hapo hapo sasa hicho tu cha kusema warudi home ni kiburi, at an age of 30th Mtu anadai anaenda kuishi Kama mtawa hii haiko
Sawa.. Wanaume ni viumbe laini na teketeke sana, kumwendesha mwanaume ni rahisi sana Kama ukitenda kama mwanamke yaani ukawa laini kwake, ukamtii, ukawa mkimya .. Mwenyewe utajikuta unamburuza. Ila ikijifanya teacher flan, domodomo, ngangari, aisee utakiona..

---- mwanamke alifikia hatua mbaya sana Na Mumewe, viongozi Wengi wa dini walimpa maushauri ambayo hata wao hawayawezi, alipokuja kwangu kutokana Na mwendo wa maisha Na majeraha waliyotendeana Hata hakuna room ya kuanza kuexercise huo utii( unajua inafika stage kwenye
Ndoa Hata ukisema umtii mumeo utaanzia wapi manake maneno ya uchungu, kisirani yamejaa pande zote). So simple nikamshauri afanye Kama anaigiza utii. Ni kama bongo movie, watu wanakumbatiana, unawaona wamelala kitandani. Wanaitana honey, bebi nk, but yote ni maigizo tu uhalisia wanaweza kuwa mahasimu wakubwa tu but for the sake of moves they act that. Mie nikamwambia embu nae ajifanye yuko mbele ya kamera anaact kumtii mume wake fo only 7 days aone reault, Yaani abadilike kabisa awe kama chizi amwite mumewe majina yalee matam, amtendee Kama vile anakolezea movie yake, malavidavi ya kitandani amtendee Kama anaigiza manake upenzo uko zero ground.

Kweli akaenda akafanya moves yake ya wiki, ilikuwa ngumu manake kila kitu was 100% moves, no love at all, lakini Kwa sababu ya maneno ya watu Kwamba Mtu huyo(me) ni kisima Cha hekima Na ushauri(ila mie sijui watu wanansingizia tu) she caries that faith and exercise the very hard and difficult movie-shooting for 5 days. Cha kwanza Kwa mumewe was a suprise, alistuka sana , akajua no no no, something was wrong somewhere, kuna kidudumtu kamzibua mkewake, tokea wafunge ndoa hajawahi kuona
Hii kitu Mkewe akimtendea so kuna Mtu amzibua mkewe, jamaa akaparamiwa na
Wivu akaaza kufuatilia nyendo Za mke wake imagine always akawa anaomba vilikizo vifupi kazini aweze kugundua who is behind this. Na mie nikamwambia for the time asiwasiliane na Mtu yeyote na abadilishe namba Na wote anaowapigia wawe ndugu Za mume au wanawake wenzake. Jamaa aliendesha zoezi hadi kampuni ya cm na kuminitor watu wanaompigia mkewe(nyie wanaume wana wivu hatari), akanunua mtu Kwenye kampuni kila mkewe akipiga
Cm Yeye anamtumia namba Na kila akiicheki anaifaham, sasa siku hiyo ya 5 mwanaume akakunjuka Na kumuuliza Mkewe mabadiliko hayo makubwa sana asili yake ni nini, simpo Mwanamke akamwambia kuna sehemu alikwenda akaombewa Na akawa huru. Hilo tu, mwanaume nae akamwambia Basi Na Yeye anataka akaombewe .. Nowadays they have a nice marriage. Mwanamke akichange lazima nyumba ibadilike isipobadilika Basi mwanaume ni CHIZI..
Nashukuru sana TAMKO uliyosema yote nakubaliana nayo nilipoanza kuona matatizo nilijaribu kuongea nae,kumtii na kuwa mke na mama, mimi nimkritu nimeomba sana,nimefunga nimeongea na viongozi wa dini peke yangu maana yeye toka amenioa kanisani mwiko kwenda,nimemuomba anieleze tatizo ni nini nijirekebishe hasemi, zaidi atanambia pole mke wangu ananibembeleza dk2 muda si mrefu unasikia jingine. sijapenda kwenda kwa wazazi lakini mazingira yamekuwa magumu nyumba ni ya kupanga na anatembea na mtoto wa mamamwenye nyumba pia na akirudi na mimi ananitaka ndo huwa nakosa amani. natambua mwili wangu sina mamlaka nao ila yeye mume wangu na hata akiniudhi vipi sikuwahi kuacha kutimiza wajibu wangu kama mke lakini hali imekuwa ngumu sana kwangu mpaka nafikia kuondoka,mpaka kupima afya yangu naogopa ingawa sitashangaa nikijikuta nimeathirika na vvu,maana yaliyotokea ndani nimengi sana ni ngumu kuyaandika yote.
 
usiwe mvivu ma dear huwa vinasaidia sana na vinakupa tumaini jipya, na kukufanya uwe sehem ya jamii. huwa napenda sana umoja na ushirika hasa wa kitume unanipa nafasi ya kumjua mungu zaid. kuna jambo nataka nikuombe in personal ila kwenye pm .

Nakubaliana nawe, nitajaribu ila kuna changamoto zake; anyway l will give a try. Lets go PM
 
pole sana....mie nina swali moja...kabla ya kuoana je ulichunguza tabia yake vizuri hasa kuelekea utumizi wa dada poa au ndio uliingia kichwa kichwa? nasema hivyo kwa sababu ni nadra sana kukuta jamaa anaanza tabia ya kupenda ngono baada ya kuoa

leo umenifanya nikufahamu upande wa pili ukoje. you a wonderful man na wachache wataligundua hilo.
 
pole mwaya,
la maana ukikaa peke yako na wanao jiepushe sana na tamaa yasije yakakukuta mambo makubwa zaidi ya hayo uliyoyaacha.
 
Pole sana mbalisana kwa masaibu yanayokupata. Kiukweli habari hii imenigusa kama mwanaume na imenipa uchungu mwingi sana wa namna ambayo tunaweza kuwaumiza wenzetu na kuwafikisha wasikotarajia. Mengi wamekushauri Kina gfsonwin, Yericko Nyerere, Kaunga (Just to mention the few...)

Kiukweli inahitaji maombi mazito pamoja na juhudi za kibinadamu ambazo bado sijaona kama umeshazichukua... Hadi unafanya maamuzi ya kwenda kwenu/kutengana je umewapa nafasi wasimamizi wenu wa ndo, wazazi mshenga nk kujaribu kuwaweka chini na kusikiliza shida yenu? Penye wengi hapaharibiki neno naamini akikalishwa chini wa wasuluhishi niliowataja pamoja na wengineo kama hao na kwakuwa ni binadamu mwenye moyo wa nyama + Maombi hakika atabadilika...Ni hayo kwa sasa Pole once again!
Nashukuru, tumeonge na ndugu,wazazi wake,washenga na marafiki wakaribu lakini hakuna mabadilikoviongozi wa dini alisema hataki hata kuwasikia maana dini kwake eti ni kiini macho tu. Ninawasiwasi sana juu yake maana hata huduma kwa familia sio kama mwanzo kidogo imepungua ingawa kipato chake kimeongezeka sana, na utendaji wake kazini analalamika unapungua,na nilipomwambia naondoka akasema nitamuongezea stress lakini hakuonyesha kujali wala kwamba ananihitaji kwa ajili ya nini. nilitamani nimsaidie kama mke na mtu wake wa karibu lakini imekuwa ngumu naishia kuumia mimi.
 
Hahahah nivea bana, i wil get married when ma tym comes and i believe i wil have the best marriage ever, matatizo ya ndoa za wengine hayawez nikatisha tamaa miye its them and their failures!! Ila mpe msaada maza huyu iknow u can....

Wenzio wakinyolewa zakom tia MMA!!!!!!!!
 
Fazaa? Haupo serious. Nani amekuambia wamekutana nightclub? Halafu aina ya mwanaume unaemuongelea hayupo kwenye hii dunia. Unafikiri kama anamjua Mungu uchungu wa mke na watoto kuondoka si angeusikia? Halafu uanze kumwambia aende msikitini? Wanaume wakishaanza kuzini huwa ni sikio la kufa, hapo kama mwanamke ni akili kichwani mwako. Kumeza ama kutema.
Una akili sana wewe,hata mwnaume awe amekulia kwenye familia takatifu kias gani,sijui mkutane hata kanisani au kwa msikiti,kama ni mzinzi ni mzinzi tuu hadi atakapoamua kubadilika
 
Pole sana dada , cha msingi muombe Mungu kama kweli amekupangia huyo mwnaume atabadilika tu.
 
ukitulia una mapoint weweeee walaaahiiii....

Kinachowaponza wanawake wengi ndo hicho......

wanajidanganya watambadilisha mwanaume, wanasahau ninadamu anabadilika pale tu akiamua.....

Au mapenzi yanawatia upofu, au ndo wanadanganyana wanaume wote ndivyo walivyo avumilie, akiingia ndani anakuta ngoma nzito.......

All in all yashatokea....... Asonge mbele ....

Atafute furaha yake..........
Umesema sawa kabisa nime bold kuonyesha msisitizo.... Those are common mistakes women do
 
Tazama sasa roho wa mungu ananisihi niombe juu yako na familia yako. ''Baba katika jina la YESU namkabidhi kwako mja wako huyu na familia yake nzima na ninaenda kinyume na mipango mibaya yenye kuharibu ndoa yake, namfunike sasa kwa wingu zito la damu ya YESU ili nguvu za giza zishindwe juu yake.Baba kwa uwezo wako mfanye kuwa mpya, mjaze imani akuamini na akutambue kuwa wewe ndiye mkuu, ndiye uwezaye kutengeneza njia pasipo njia. Baba mfungulie milango ya baraka, mfungulie ndoa yake baba, afanikiwe arejeshe amani katika ndoa yake baba, kila alifanyalo liwe na mfanikio baba, mpe nguvu ayashinde majaribu katika ndoa yake, tunasema asante katika jina la YESU wa Nazarathi aliye hai.
Mama sema AAAMINA na rudi kwa mumeo hakuna matatizo tena umeshaombewa na mchungaji.
 
Kunavitu huwa watu wengi siku hizi hatuviangalii au hatuvijali tena kama babu zetu au mababu zetu zamani. Jaribu kuchunguza kwenye ukoo wao inawezekana kuliwahi tokea mtu aliyewahi kuwa na tabia kama zake kwenye ukoo wao huko nyuma au watoto wa shangazi zake au watoto wa mama wadogo au wakubwa yaani angalia ukoo wote kama unaweza. Maana vitu hivi ambavyo saa ingine vinatokea kwa tabia za kurithi ambazo zinaweza jitokeza baada ya mtu kufika umri fulani au baada ya wakati fulani na hili mtu anajikuta tuu anafanya bila kujijua na inaweza kuwa hata yeye hapendi anajikuta tuu. Ukishagundua kitu ni rahisi kujua nini cha kufanya hasa maombi maana mambo ya mizimu ya ukoo inataka nguvu za rohoni kukabiliana nazo. Pia upande wa pili mambo ya ushirikina yapo, si watu wote walifurahia ndoa yenu either wanawake wengine walitaka waolewe nae hivyo baada ya kuona kawatolea nje basi wakamtupia kijini cha mahaba ili tu wamuahribie na hili hawezi jicontrol ila kwa maombi tuu tena ufungu mshipi haswaa au yaweza kuwa kuna mkaka alikupenda wewe na alitaka akuoe ila kwa kuwa umemkubali huyo mumeo na kuolewa nae hakutaka kukudhuru wewe kamdhuru huyo jamaa ili umuone kuwa hafai tena na wewe umeachika inaweza kuwa ni goal yake moja na ukiwa kwenye hali ya maisha mapya nje ya ndoa baada ya kuheal angalia watu watakaojitikeza kukufariji na kutaka kuanza mahusiano na wewe, lazima atajitokeza hapa ili kuziba nafasi na kuachive goal yake ya kukupata jaribu kuwa makini maana duniani kuna vitimbwi na vituko, kunabinadamu wako radhi wafanye lolote wawezalo wapate wanachokitaka watu wa namna hii waogope sana ni hatari.
Pole kwa yaliyokukuta na funga mshipi wa maombi na sala kila kukicha na kukikuchwa bila kuchopka wala kukata tamaa.

kama tungelikuwa na hilo la kuchunguza.... 100% nakubaliana na wewe.... tatizo mamboyetu ya zamani/mababu tunayaita ni ya kishenzi lakini tungeyafuata
 
Hayatuhusu.

Mkuu Mwanamalundi....Kule Kwa CHAI CHUNGU umekuja na the same comment ukapewa za uso za kutosha tuu...Sasa hapa unaendeleza utoto ambao hatukuwahi kuujuwa kabla...

Kumbuka Invisible anatuasa tujaribu kuficha upumbavu wetu...

Hayakuhusu wewe na nani? Kwa kikao kipi mlichokaa na kupitisha maamuzi hayo?
Kwani mbalisana aliku PM? Ivi huku umelazimishwa kuingia? Kwani lazima ku-comment hata kama huna hoja? Au ni kwakuwa unafisidi mtandao wa bure hapo ofisini kwako na muda wa muajiri wako?

Acha kujidhalilisha otherwise unaelekea kuwa Mtu mzima ovyo!
 
Back
Top Bottom