Nampenda sana mume wangu lakini kanikatisha tamaa, nimelazimika kujitenga nae.

Mtasema yote lakini mnapo apa mbele ya mchungaji kuwa mpo tayari kuishi maisha yote ktk dhida na raha!

wengi wanadhani shida labda ni kulala na njaa tu au wakati wa ugonjwa.

huyo dada arudi kwa mume wake apigane ndio maisha hayo! mngejua mama zetu walivumilia mangapi msingekimbia ndoa zenu.

Ukitafakari maana ya ndoa mtajua si kitu cha kukimbilia maana unabeba yote si lelemama!

Binti rudi kwako pigana mtoto wa kike unamuachia mumeo machangu!

Usipotoshe ndugu sababu moja kubwa ya kuvunjika kwa ndoa ya kikristo ni ngono nje ya ndoa. Hili ni kwa mujibu wa Sir Jesus Christ mwenyewe. Hii dhana kuwa wanandoa, hasa kina mama, lazima wavumilie tu wenzi wao wanapokuwa mafuska nje ya ndoa imekaa kibinadamu zaidi haina msingi kwenye ukristo.
 
Pole dada!

Uyo jamaa trend ya ukoo aliotoka ni ya machifu?
Kwa hali ya kawaida binadamu ana kiasi,ukishaona mtu hana kiasi ujue kuna viumbe wengine huwa wanatumia huo mwili.

Wanaume wengi huwa nadhani mizimu inawatumikisha.nafikiri ndio mana Mungu hakutaka Yesu azaliwe kwa mbegu ya mwanaume alijua mizimu itaanza kumuungurumisha.

jaribu kucheki vizuri kama kuna watu wameitupia iyo ndoa midude ili isikalike,au familia anakotoka uyo mumeo.

kama unampenda sana na unaumia sana kuondoka labda jaribu kumwambia njia yenu ya uzazi wa mpango iwe condom ili ujilinde na HIV.
 
Siku zote tukubali tukatae mwanamke akipenda anapenda jamani, hawa watu wana roho ya tofauti kabisa na sisi wanaume, me kwa kweli nawaoneaga huruma......Hata kama nina mwanamke sitokuja kumuonyesha mke wangu.....
 
Hawa wa msikiyini si wanaruhusiwa kuwa na watani wa jadi mpaka wanne kwa mpigo? Kama sikosei huyu dada hataki kushirikishwa ngono na wenzake hajasema anataka wenza.
dogo wacha kwenda kwenye dini, mana kuna wengine huwa mpaa wanaenda mbembeleza yule moderator azifute thread navyo wapeni ukweli.

Kabla hutajaenda mbali weka akilini, there is no verse in the Bible that prohibits polygamy.

Ukienda kwenye dini uta-umia utakuwa kama yule M Mkwawa akawa hajui anasema nini, kabaki kuja na maneno yale yale tuliza ball kijana, wacha kutafuta point za kunipa ushindi :biggrin1:
 
Natamani huyo mumeo angeoa mke wangu kwani wana match sana tabia za ukorofi korofi.

Ila pole sana kwa hayo matatizo na natumaini mungu atakusaidia, na wkt mwingine unaweza kuona wewe unatatizo kumbe kuna wenzako wana matatizo makubwa zaidi.
 
Dada pole sana..dah sijuw nicoment nin nimeumia af naogopa..sijafika huko ila hmmm
 
hao ndo wanaume.........

Piga moyo konde......
Jikung'ute vumbi........
Songa mbele.........

Kuna maana gani kuwa katika ndoa huku unachoambulia ni maumivu na mateso? Dharau na kuumizwa? Zaidi kudhalilishwa na mwanaume asiyejua kufunga zipu? Mwisho wa siku starehe afanye yeye maradhi upate wewe???????


Songa mbele dada, songa mbele...... Huo sio mwisho wa maisha....................

Maumivu ya moyo yatakwisha, kidonda kitanyauka................

Unajua tafsiri ya neno NDOA...tafsiri ambayo ni sacred...??!!

Nilikifiri ungempa POLE kwanza, then umshauri aelekeze shida zake kwa MUNGU
 
Hahahah nivea bana, i wil get married when ma tym comes and i believe i wil have the best marriage ever, matatizo ya ndoa za wengine hayawez nikatisha tamaa miye its them and their failures!! Ila mpe msaada maza huyu iknow u can....
kiongea hivi unanipaje raha!
kweli kabisa nimeshindwa mimi kwenye ndoa yangu haimaanishi wewe yako ni mbaya! mbalisana mpenzi wangu!
pole!
SIMAMA
FUTA VUMBI
TAZAMA MBALI ZAIDI
ISHI!
umeshafika hapo kukurudhisha nyuma nikukutesa !LOVE YU MAMII!
yu are so special na wa thamani sana,thamani hii ipo ndani yako!haikamilishwi na mtu miwngine!
Utakuwa sawa tu!JITIBU NDANI!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dada mbalisana inasikitisha umpendae anafanya mambo kama hayo
umefanya maamuzi sahihi kuliko kuendelea na maumivu
karibia mwaka sasa toka umetoka kwa mume vipi maendeleo
mlifikia muafaka gani je aliweza kurudi na kujirekebisha au bado waendelea na maisha yako/yake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom