Mwana kondoo
Senior Member
- May 21, 2017
- 180
- 175
Niko tayari kwa lolote ambalo liko ndani ya uwezo wangu mkuuUnafki km kawaida yetu. Niko tayari kwa lolote, Je akitaka uwaziri utampa?
Acha tu nimzimikie maana hakuna namna tenaMy honey umezimikiwa huku
Kila la kheriAcha tu nimzimikie maana hakuna namna tena
Kiswahili tafadhali!We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one. Read our Privacy Policy.
Asante sana mkuu kwa kukaziaKweli nimegundua wanaume tuna upendo uliomkuu kwa watoto wa kike.
Mpaka njemba ina ahidi kutoa chochote du! Dada mkubalie kama huna mtu. Na kama unaye mme usisubutu kumuacha.
Mimi ni black person kabisa, mimi ni mwafrika.Je wewe ni mweusi? Kama sio jua tayari ushakuwa disqualified
Duuuuuh! kumbe tuko wengi eh?! Ila naamini nitashindaAisee huyu binti anazimikiwa na watu wengi sana humu ndani....
Sijajiomgelea mimi mkuu,nimona wengi wanamuanzishia nyuzi. .Duuuuuh! kumbe tuko wengi eh?! Ila naamini nitashinda
PM hazisaidii siku hizi mzee coz kila mtu anazama hukoDuuuuuh! kumbe tuko wengi eh?! Ila naamini nitashinda