hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
Kama ulishawahi mwambia muachane akasema hapana kwa sababu anakupenda sana ujue alimaanisha, kwa hiyo you just relax,she is looking for the way to control you! na akisha ku control hakutakuwa na shida coz atakuendesha atakavyo na wewe hutojali utaona sawa! and THAT IS LOVE!
ngoja mm nipite tu maana mapenzi yenyewe kwangu mm yako kushoto.
labda ni mkurya,bila kupigwa anaona hapendwa,siku nyingine akinuna mnasue kibao....:nerd::yawn:
labda ni mkurya,bila kupigwa anaona hapendwa,siku nyingine akinuna mnasue kibao....:nerd::yawn:
anadeka?????????
Mapenzi kama mchezo wa kiduku......unaweza kufikiri ni rahisi kucheza kumbe yahiitaji moyo na roho
hakikisha usimwudhi,halafu uwe unambembeleza
Kama kweli unampenda, mchukulie jaribu kumuelewa zaid jaribu kujua nini anapenda na nini hapendi!
Yeah! Wakati wa amani kaa naye muulize nini kinamsumbua, tabia yako asiyoipenda. Akisema kinachomkwaza jitahidi kujirekebisha kadri uwezavyo. Pia mwambie kuwa unampenda na hukusudii kumuudhi hivyo naye ajitahidi kudhibiti hasira zake asikate mawasiliano. Mkae msuluhishe kila tatizo linapotokea. Kufurahi muda mwingi zaidi ni kwa manufaa ya uhusiano wenu na kwa afya yako na yake.
Sasa kwa nini unafanya mambo ya kumuudhi kama kweli wampenda??