Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 2,260
- 5,386
- Thread starter
-
- #21
Yeye hakupendi halafu nawewe unampenda na pia Unamwogopa,Mwanaume hupaswi kuwa hivyo na hapo ukweli ni kwamba kaonesha ishara zote za kutokukujali wewe na atakuwa na mtu mwingine huyo. Achana naye kwani atakutesa sana halafu pia utapoteza muda mwingi ambao ungeweza kuutumia kuanzisha mahusiano kwa mwingine.
Mpaka akupige puu ndo utaelewa
Mkuu mimi ni ke!
Ila naomba nikwambie hapo umeiingia miguu yote miwili na amekugundua! Hayuko na feeling na wewe ila kama binti kuonesha ana mtu na coz unaonekana una mpenda ndo maana yuko hapo!
1. punguza mawasiliano kama kweli anakupenda atakutafuta (kama sms zilikuwa 10 peleka 5 kisha 1) hapa utaumia ila baadae utazoea
2. Punguza matunzo fanya pale anapoomba na siyo lazima kila akiomba utimize (kama yeye kakosa hata wewe unaweza kukosa pia )
Utapata shida mwanzoni lakn ni namna nzur ya kujua position yako kwake! Unaweza ukute kakufanya wa back up tu!!!
Mkuu mimi ni ke!
Ila naomba nikwambie hapo umeiingia miguu yote miwili na amekugundua! Hayuko na feeling na wewe ila kama binti kuonesha ana mtu na coz unaonekana una mpenda ndo maana yuko hapo!
1. punguza mawasiliano kama kweli anakupenda atakutafuta (kama sms zilikuwa 10 peleka 5 kisha 1) hapa utaumia ila baadae utazoea
2. Punguza matunzo fanya pale anapoomba na siyo lazima kila akiomba utimize (kama yeye kakosa hata wewe unaweza kukosa pia )
Utapata shida mwanzoni lakn ni namna nzur ya kujua position yako kwake! Unaweza ukute kakufanya wa back up tu!!!
Wewe ndio tatizo. Kuna mahali huwa naona humu watu wanasema imeandikwa hawa viumbe inatakiwa uishi nao kwa akili, hawakukosea kabisa. Ni hivi hapo kuna mawili.
Ni hayo tu kwa sasa.
- Huyo mdada anakufanya we mchepuko, hakupendi hata nukta.
- Ni aina ya wale wasichana ambao wanaamini mwanaume anatakiwa kuwa mbabe na mkali hivyo wakipata watu wanaojali sana wanajikuta tu wanakuwa wakorofi maana hawapati kile wanachotaka. Ninaamini kwa kiasi kikubwa hiki ndicho kinachotokea kwa upande wako. Dawa ya hili tatizo huwa ni ndogo sana, unachotakiwa ni kufanya kama vile hayupo. Mpotezee hivi kidogo, saa nyingine mwambie nakuja kukutembelea halafu usitokee bila taarifa akikuuliza mwambie ulibanwa na majukumu. Halafu akiwa mkali we kuwa mkali mara 100 halafu cheki situation. Kumbuka Sio kila mwanamke anaelewa lugha ya upole.
ilo tatizo ata mm ninalo yani natengenezewa makosa kila siku yani tunaweza kuwa na furaha ghafla tu ana ni badilikia tupo mikoa miwili tofauti nami msaada plz maana stress sana
Sitisha mawasiliano ghafla bila taarifa, usipige simu wala kutext. Akikuuliza tatizo, we mwambie umechoka na unahitaji kujitoa katika uhusiano huo. Ukishamueleza hilo, endelea na yako na usirudi nyuma kwa sababu huyo mwanamke hakupendi na anakuchezea na kukufanya bweg.e kwa vile inaonekana wewe ni mpole sana au amethibitisha kuwa unampenda sana na huna uwezo wa kumuacha.
Mwananchi B pole sanaKeshaniumiza sana hadi shakuwa sugu, akinitosa sitashangaa, tasonga mbele tu kiume, huwa natatua kila kitu kwa upendo wa dhati na upole ila mbidada kama hanisomi vile ndo maana simuelewi kabisa
Mwanamke anakupa stress-unashindwa kumzibiti unakuja kulalamika kwenye mitandao,...hebu jiongezeni kidogo basi.
aksante mkuu kwani mitandaoni c kuna ushauri na maoni jiongeze plus plus
Ni sawa lakn tulitaka kusikia umewajibika wewe binafsi kulinda usipatwe na stress then ndio uje huku,...umekaa tuu na mistress yako ndio unakuja kutuomba ushauri....tatizo ni chips mayai kila siku akili ni lazima ziwe laini kama za mwanamke,..try ugali -maharage.
poa ndugu nimekubari basi nipe ushauri nifanyaje ndugu maana imezidi